Goli zitarudi tu.
yap kujipa moyo ni vizuri zaidi kwa kuwa hakuna red card..
nafikiri mfumo kati ya hizi timu mbili ni mmoja (4-5-1) kama sijakosea.. uhalisia ni kwamba chelsea wamedominate game kwa kiasi kikubwa sana, hapa sijui ni ufundi, ubunifu, aina ya uchechazaji na au wachezaji kati ya hizi timu mbili au ni kitu gani wadau khe!
Tunawahitaji podolski for le conqlin , arshavin for diaby .. jenkison for sagna
Kipindi cha kwanza tumeteswa, I hope Wenger atafanya mabadiriko sio mambo ya kusubiri mpaka dakika za mwisho goli mbili nyuma ninyingi sana kwenye
mechi kubwa kama hii.
Giroud yupo yupo tu uwanjani utasema msaidizi wa refa. Hana msaada kwa vile kiwango chake kinategemea kulishwa tu.
Naona Walcott aende kati Arshavin aje winger. Tumezidiwa sana
Podolski anaumwa,Giroud hana nguvu, hana uwezo wa ku-hold mpira. Mechi nguvu kwake kwani tumezidiwa pale kati, mtu kama Arshavin anae weza kumiliki mpira nadhani inaweza kutusaidia kupunguza presha kwa mabeki wetu na midfield yetu.Tunamuhitaji podolski ASAP aje kum stress ivanovich