Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kama uliangalia mechi ya Swansea sijui utasemaje ile foul aliyofanyiwa Theo na wala haikutolewa foul, kweli sheria ina utata kuhusu red card kama mchezaji anao mpira lakini Dzeko hakuwa na mpira na Tevez alikuwako tayari na movement imekwenda baada ya kukosa goli ndio imefuata foultugange jengine tuwache hapa kwanza mechi zipo nyingi
Tuangalie mechi inayokuja Chelsea wanabana sana kati na hapo ndio tatizo la Arsenal lazima watumie mipira mirefu na huo sio mpira wa Arsenal na muhimu zaidi ni kutumia nafasi yoyote inayotokea kuliko kuharibu nafasi nyingi tumeona mechi iliyopita nafasi nyingi tulipoteza
Mkuu ile ya Laurent Koscielny ni red card haina ubisha kwa Edin Džeko alikuwa katika nafasi ya kufunga....Ina utata kidogo sheria hii,kwa sababu kuna ile mchezaji akiwa ndio wa mwisho na kufanya foul na kuna kuzuia mpira usiingie golini kwa mkono zote ni kadi nyekundu na adhabu yake ni straight red card na kukosa mechi moja inayo fuata.....Ukitazama ile ya Vincent Kompany nayo ni kadi nyekundu na adhabu yake inaambatana na kutocheza mechi nne zinazofuata.

Tukirudi kwa Mike Dean anakuwa na maamuzi ambayo tunaweza kusema yanauma Arsenal tazama hapa.



 
Last edited by a moderator:
kama uliangalia mechi ya Swansea sijui utasemaje ile foul aliyofanyiwa Theo na wala haikutolewa foul, kweli sheria ina utata kuhusu red card kama mchezaji anao mpira lakini Dzeko hakuwa na mpira na Tevez alikuwako tayari na movement imekwenda baada ya kukosa goli ndio imefuata foultugange jengine tuwache hapa kwanza mechi zipo nyingi
Tuangalie mechi inayokuja Chelsea wanabana sana kati na hapo ndio tatizo la Arsenal lazima watumie mipira mirefu na huo sio mpira wa Arsenal na muhimu zaidi ni kutumia nafasi yoyote inayotokea kuliko kuharibu nafasi nyingi tumeona mechi iliyopita nafasi nyingi tulipoteza

Tuache ushabiki kiwango cha Arsenal ni kidogo sana kuweza kushindana ndani ya Uingereza na nje, Uwezo wa Arsene Wenger umefikia kikomo hana jipya tena mfumo anaotumia umeshapitwa na wakati, kwa sasa ni barcelona peke yake ndo inafanikiwa kwa mfumo huo hata brazil siku hz wanacheza mipira mirefu ya kukimbiza na kutumia nguvu.

Kila mechi washabiki wa arsenal hasa bongo wamekuwa wakilalamika kuonewa kitu ambocho si kweli makosa ya marefa yamekuwa yazigharimu timu nyingi tu si arsenal peke yake kama mnavyotaka kutuaminisha hapa, katika mechi hiyohiyo Swansea walinyimwa pia penati baada ya Vamalen (Spelling) kumshika mtu ndani ya 18 lakini hakuna anayelalamika nyi mmeona ya walcot tu.

Kama uingereza mnaonewa mbona hamchukui UEFA? Au UEFA nako mnaonewa na marefa ambao si waingereza? Arsenal ina nini hasa hadi marefa wawaonee kiasi hicho?

Arsenal inapaswa kutafakari kwa kina nini tatizo na si kutupia lawama kwa Mc Dean. Ukiangalia mechi ya City mi naamini hata Arsenal wangekuwa wametimia bado kuifunga city ilikuwa ni ngumu tu. Kuna wachezaji wengi ambao viwango vyao vipo chini sana Diaby=Ramsey=Girvinho=Gibbs=Geroud=Avarage players
 
Let us speak black and white hivi kutokuchukua makombe au kufanya vibaya kwa Arsenal ni kwa sababu ya waamuzi kuionea arsenal? Vp hata lile kombe lenu la Emirate siku hizi mmekuwa mkipigwa nako mnaonewa na marefa?
 
Tuache ushabiki kiwango cha Arsenal ni kidogo sana kuweza kushindana ndani ya Uingereza na nje, Uwezo wa Arsene Wenger umefikia kikomo hana jipya tena mfumo anaotumia umeshapitwa na wakati, kwa sasa ni barcelona peke yake ndo inafanikiwa kwa mfumo huo hata brazil siku hz wanacheza mipira mirefu ya kukimbiza na kutumia nguvu.

Kila mechi washabiki wa arsenal hasa bongo wamekuwa wakilalamika kuonewa kitu ambocho si kweli makosa ya marefa yamekuwa yazigharimu timu nyingi tu si arsenal peke yake kama mnavyotaka kutuaminisha hapa, katika mechi hiyohiyo Swansea walinyimwa pia penati baada ya Vamalen (Spelling) kumshika mtu ndani ya 18 lakini hakuna anayelalamika nyi mmeona ya walcot tu.

Kama uingereza mnaonewa mbona hamchukui UEFA? Au UEFA nako mnaonewa na marefa ambao si waingereza? Arsenal ina nini hasa hadi marefa wawaonee kiasi hicho?

Arsenal inapaswa kutafakari kwa kina nini tatizo na si kutupia lawama kwa Mc Dean. Ukiangalia mechi ya City mi naamini hata Arsenal wangekuwa wametimia bado kuifunga city ilikuwa ni ngumu tu. Kuna wachezaji wengi ambao viwango vyao vipo chini sana Diaby=Ramsey=Girvinho=Gibbs=Geroud=Avarage players

Says manure urinated Fan ....
 
Just a bit of a reminder.. Theo vs Chelsea: Mwiba.
Theo-Walcott-postize-pogodak-Chelseu-download-besplatne-sportske-pozadine-za-desktop-slike-kompj.jpg Theo_Walcott_1793325c.jpg article-1342401-0C973F78000005DC-115_634x314.jpg
 
sijui unatizama mpira upi kwani mfumo wanaoutumia Chelsea hauna tofauti na Arsenal na hao Swansea ndio hivo hivo mpira ni total football tatizo la Arsenal sio kucheza mpira
mpaka sasa hivi Arsenal mimi naita ni chuo sio kama timu inayotafuta ubingwa ndio Wenger alisema wao wakipata nafasi ya nne ni nzuri kwao,
wachezaji wengi wanaondoka sio tatizo la team work ila ni ubakishaji wa wachezaji kwani timu nyingi hawauzi wachezaji kama wanavofanya Arsenal
hakuna anaelalamika hapa kwenye UEFA
Wachezaji walioondoka karibia wote wanarudi kuangalia mpira wa Arsenal jaribu kufanya utafiti hata RVP basi atakueleza Arsenal ni timu nzuri
Wenger hawezi kubadilisha timu kama mnavotaka nyinyi,
Hivi huoni wachangiaji ni wengi humu na wewe ni mmoja ya unaeipenda Arsenal lakini wengi wenu ni Plastic fans mnasubiri Arsenal waje juu ndio mutaanza kuja humu na kelele
City haikuwa ngumu kama unavotaka tufikiri walikuwa wetu sana katika timu inayotegemea mtu hakuna kama City Yaya Toure pekee

Kwani wewe unapendelea timu gani vile?
Tuache ushabiki kiwango cha Arsenal ni kidogo sana kuweza kushindana ndani ya Uingereza na nje, Uwezo wa Arsene Wenger umefikia kikomo hana jipya tena mfumo anaotumia umeshapitwa na wakati, kwa sasa ni barcelona peke yake ndo inafanikiwa kwa mfumo huo hata brazil siku hz wanacheza mipira mirefu ya kukimbiza na kutumia nguvu.

Kila mechi washabiki wa arsenal hasa bongo wamekuwa wakilalamika kuonewa kitu ambocho si kweli makosa ya marefa yamekuwa yazigharimu timu nyingi tu si arsenal peke yake kama mnavyotaka kutuaminisha hapa, katika mechi hiyohiyo Swansea walinyimwa pia penati baada ya Vamalen (Spelling) kumshika mtu ndani ya 18 lakini hakuna anayelalamika nyi mmeona ya walcot tu.

Kama uingereza mnaonewa mbona hamchukui UEFA? Au UEFA nako mnaonewa na marefa ambao si waingereza? Arsenal ina nini hasa hadi marefa wawaonee kiasi hicho?

Arsenal inapaswa kutafakari kwa kina nini tatizo na si kutupia lawama kwa Mc Dean. Ukiangalia mechi ya City mi naamini hata Arsenal wangekuwa wametimia bado kuifunga city ilikuwa ni ngumu tu. Kuna wachezaji wengi ambao viwango vyao vipo chini sana Diaby=Ramsey=Girvinho=Gibbs=Geroud=Avarage players
 
Kuna heavy snow London .. I hope game haitakuwa called off ...
 
Hivi kuna siku mmekubali kwamba mmefungwa kwa kuzidiwa maarifa.........na ticket zenu bei mbaya na ligi hamshindi mnashiriki tu, there is life after wenger!!!................... so delusional:target:
Na siku wakibebwa hakuna anayesema.
 
Last edited by a moderator:
sijui huwa unaangalia mpira au unasikiliza kwenye RTD? timu zote hupata bahati kitu kinachoongelewa hapa ni kwanini Dean akichezesha mechi za Arsenal anaonesha unazi?
Nakubaliana na wewe kuwa mpira unausikiliza redioni
Na huyu refa je?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom