Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu iliyocheza na Man City ndio inacheza leo.

01 Szczesny

03 Sagna

05 Vermaelen

12 Mertesacker

28 Gibbs

02 Diaby

22 Coquelin

10 Wilshere

14 Walcott

19 Cazorla

09 Giroud

Kwahio hapo kuna mtindo wa 4-3-3 na Giroud atakuwa mbele peke yake akisaidiwa na Walcott na Cazorla nyuma yake.

Ukuta wa nyuma utazibwa na Coquelin na Abu Diaby na Wilshere.

Hivyo timu itasimama uwanjani kama inavyoonekana kwenye mchoro huu.

 
Hali ya London si shwari kabisa na barafu inazidi kudondoka kila sekunde.

Arsenal tumepakia mizinga yetu nyuma tu ya uwanja tayari kutoa moto wa kutosha ili kuupa uwanja joto linalotakiwa.
 
Arsenal charged 62 pounds for tickets vs City they said, Chelsea and City Charged 60 and 58 pounds (respectively) vs Arsenal they never said. Apparently 2-4 pounds more is TOO EXPENSIVE. If this isn't being biased then tell me what it is!

Meanwhile, COYG!
 
Defence imeanza vizuri leo.

Vermaelen anapanga mabeki wenzie vile inavyotakiwa.
 
Giroud anakosa nafasi ya wazi kabisa ya kufungua mlango wa Chelsea.
 
ball control ya binadam anaitwa giroud ni ya hovyo hata bahnuz ana afadhali
 
The Legend......wapi Wacha1 ??!
khekhekhekheeeeeeeeeeeeeee....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom