Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpira ni dakika 90 wandugu.............Si dakika 45 ala 60 so majirani wasishangilie ushindi.........
 
Likifungwa goli la pili na Arsenal basi iandaliwe karamu ya magoli.
 
Dk 70 Che 2 - 1 Ars

hii gemu wanaweza kuchomoa chelsea washapagawa..
 
Maoni kuhusiana na nini?..........

Btw wewe unashabikia timu gani?,maana ndo kwanza leo nakuona Jukwaa la Michezo

SUBSTITUTION: Andrey Arshavin...!???

Bila kujali nashabikia timu gani, Arsenal wapo kwenye "poor form" for nearly a decade...!
 
Back
Top Bottom