Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Mpira ni dakika 90 wandugu.............Si dakika 45 ala 60 so majirani wasishangilie ushindi.........
Karibu mtangazaji wetu Balantanda
Muda unazidi kuyoyoma...pfuuuuuuuuuu... tik tok tik tok time is rushing..
Maoni kuhusiana na nini?..........
Btw wewe unashabikia timu gani?,maana ndo kwanza leo nakuona Jukwaa la Michezo
so?............SUBSTITUTION: Andrey Arshavin...!???
Bila kujali nashabikia timu gani, Arsenal wapo kwenye "poor form" for nearly a decade...!
so?............