Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wacha1 hii ni nafasi ya kulalamika tena kwani ndio jambo unalolijua.Badala ya kuongelea Webb kila siku sasa umepata na Mike Dean.Pole sana kwa kupenda timu ya vilaza.

Hawana fadhila hawa Dean mwenyewe kamuone Kompany lakini hawaoni yote hayo
 
Edin-Dzeko-of-Manchester-City-shoots-past-Woj_2885567.jpg
Edin-Dzeko-goal-celebration_2885576.jpg
 
Naona Arteta anakosa mechi zote za January. Ngoma yetu ngumu.

Diaby simuamini, mechi mbili anarudi tena kwenye matibabu.

Yule dogo M'vila ambae tulipiga kelele nyingi tunamtaka summer naona Fulham ndio wanaweza kumchukua.

Labda tunasubiri madili ya bei poa ya dakika za mwisho.
 
Diaby hamna kitu bwana sizungumzii ushabiki wala nini? Diaby=Ramsey=Girvinho=0

Nafikiri umemuona Diaby leo, Jack baada ya mechi kadhaa umeona ni kifaa chacha chubiri Diaby apate more games mtamkoma .... .... ...

BTW kama nilivyosema hapo awali
Mike Dean hakuwakatisha tamaa masters wake what a fuss ... .... .... ... ... . ndiye refa wa kwanza mwaka huu kwenye EPL kuzomewa all the way .. ... ..

BTW kuna malimbukeni ambao wameanza kuangalia EPL chacha hivi hata hawafahamu marefa ambao wamekubuhu kupokea brown envelopes na wanajulikana, chijui wametumwa na mashoga wao .. .... .. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mwambie kwa WACHA 1 ndo uje kuniambia na mimi. Akiwa anatoa lugha chafu nyi si huwa mnamgongea likes?

Wacha fujo wewe wachezaji mashoga wenu kulia umlilie Wacha1 wapi na wapi ... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeee imekula kwako nasikia leo mlipata goli la offside khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

BTW hivi unajisikiaje kushadidia mashoga ama na wewe umo kwenye huo ufuska .. ... .

 
Acha ushabiki maandazi wewe bahasha bahasha haya imekuwa basha............... Dzeko was last man and ref was right to give a red card though it seems harsh due to intense of the game and its timing!!
Siku moja moja kubali tu better team won sio kila siku bahasha bahasha.......... you were poor today better luck next time.
 
Hivi kuna siku mmekubali kwamba mmefungwa kwa kuzidiwa maarifa.........na ticket zenu bei mbaya na ligi hamshindi mnashiriki tu, there is life after wenger!!!................... so delusional:target:
 
Nilimuona fagason anashangilia kuwafunga liver utadhani kashinda UEFA shame on him

Unataka asishangilie,kwake kuwafunga liverpool ni kazi ngumu kuliko Arse8 ndio maana anashangilia sana
 
Arsenal's crowded fixture list


  • 13 Jan: Man City (h) Premier League - 0 point
  • 16 Jan: Swansea (h) FA Cup - Got knocked out by Michu (got Michued)
  • 20 Jan: Chelsea (a) Premier League - 0 point
  • 23 Jan: West Ham (h) Premier League - 1 point (if lucky)
  • 26/27 Jan: Brighton (a) FA Cup fourth round * - Won't play
  • 30 Jan: Liverpool (h) Premier League - 1 point (if lucky)
  • 2 Feb: Stoke (a) Premier League - 0 point (got Stoked



  • Naona utabiri umeanza kutimia, 0 point tayari
 
Nafikiri umemuona Diaby leo, Jack baada ya mechi kadhaa umeona ni kifaa chacha chubiri Diaby apate more games mtamkoma .... .... ...

BTW kama nilivyosema hapo awali
Mike Dean hakuwakatisha tamaa masters wake what a fuss ... .... .... ... ... . ndiye refa wa kwanza mwaka huu kwenye EPL kuzomewa all the way .. ... ..

BTW kuna malimbukeni ambao wameanza kuangalia EPL chacha hivi hata hawafahamu marefa ambao wamekubuhu kupokea brown envelopes na wanajulikana, chijui wametumwa na mashoga wao .. .... .. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee

Wewe tumeshakuzoea kila siku unalialia kama mwanamke
 
Ila Kijana Wilshere ni moto wa kuotea mbali sana......the boy is with the wrong team........
 
Nafikiri umemuona Diaby leo, Jack baada ya mechi kadhaa umeona ni kifaa chacha chubiri Diaby apate more games mtamkoma .... .... ...

BTW kama nilivyosema hapo awali
Mike Dean hakuwakatisha tamaa masters wake what a fuss ... .... .... ... ... . ndiye refa wa kwanza mwaka huu kwenye EPL kuzomewa all the way .. ... ..

BTW kuna malimbukeni ambao wameanza kuangalia EPL chacha hivi hata hawafahamu marefa ambao wamekubuhu kupokea brown envelopes na wanajulikana, chijui wametumwa na mashoga wao .. .... .. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee

Kweli nimeendelea kuona utumbo wa Diaby, Nyi watu muwe na fadhila Dean jana kawabeba kwa kumtoa Kompany nje bila kusa lolote bado tu mnamlaumu.
 
Back
Top Bottom