Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

COYG mtanange wa leo utakuwa mswano ngoja wengine tusepe najua wanoko watajaa tele tu hapa kama pishi la udaga .. .. ... ..
 
COYG mtanange wa leo utakuwa mswano ngoja wengine tusepe najua wanoko watajaa tele tu hapa kama pishi la udaga .. .. ... ..

Prof hanunui? Champions league sahauni! Kwanza Leo mnatolewa hili kombe la mbuzi!
 
Kitu kishaanza hapa na kikosi chetu ni:

szczesny,sagna,martesacker,vermalen,gibbs,coquellin,wilshere,diaby,carzola,walcott,giroud
 
Naona leo midfield imekaa vizuri.
Diaby na Coquelin wanafanya kaz nzuri
 
Back
Top Bottom