Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya wanga njooni mlipojificha.. Hehehehe safi sana jack anacheza jihad yaani kutoka.moyoni kweli kijana ni arsenal fan
 
ARSENAL-SPLASH_1656221a.jpg



article-2263477-16FB2888000005DC-686_634x486.jpg


Match winner: Wilshere's goal secured Arsenal's passage into the fourth round
 
Niliiangalia tena gemu ya Man city na Arsenal hakuna ubishi ile ni penalt lakini sio red card kwani Tevez alikuwa tayari amempita Dzeko kama ulivosema Dean kweli mnazi na alitowa red kwa City ili tu kuweka balance ya red card ya mwanzo lakini hakutoa eti ni foul ya red kwa Company
Dean anaharibu mpira sana kwa Arsenal na Wenger hakutaka kubishana half time kwani anamjua Dean


Mike Dean ni nuksi kwa Arsenal,unakumbuka hii?


 
Last edited by a moderator:
Adebayo alipofunga hilo goli alishangilia na kuonyesha ngoma iwekwe kati. Mwangalie Mike Dean kwa makini anavyofanya baada ya goli kufungwa.
 
Niliiangalia tena gemu ya Man city na Arsenal hakuna ubishi ile ni penalt lakini sio red card kwani Tevez alikuwa tayari amempita Dzeko kama ulivosema Dean kweli mnazi na alitowa red kwa City ili tu kuweka balance ya red card ya mwanzo lakini hakutoa eti ni foul ya red kwa Company
Dean anaharibu mpira sana kwa Arsenal na Wenger hakutaka kubishana half time kwani anamjua Dean

Mkuu ile ya Laurent Koscielny ni red card haina ubisha kwa sababu Edin Džeko alikuwa katika nafasi ya kufunga....Ina utata kidogo sheria hii,kwa sababu kuna ile mchezaji akiwa ndio wa mwisho na kufanya foul na kuna kuzuia mpira usiingie golini kwa mkono zote ni kadi nyekundu na adhabu yake ni straight red card na kukosa mechi moja inayo fuata.....Ukitazama ile ya Vincent Kompany nayo ni kadi nyekundu na adhabu yake inaambatana na kutocheza mechi nne zinazofuata.

Tukirudi kwa Mike Dean anakuwa na maamuzi ambayo tunaweza kusema yanauma Arsenal tazama hapa.



 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom