Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
Its going to be more than 3 points since we are sure of winning against Abramovich Football Club.
There's another Drog BA in London, you must be scared to death.
Its going to be more than 3 points since we are sure of winning against Abramovich Football Club.
Mkuu za masiku ... ... ... vijana wako gado wanapiga mazoezi wanawachubiri Mancs .. ... ... uzuri wa EPL sio sadakarawe kama wauza unga wanavyofikiria ... ... unaona jinsi tunavyotisha kila timu inaogopa kucheza na sisi usione wanajifariji hapa jukwaani Gunners ndio timu inayoongelewa kutwa kucha kisa msimamo dhabiti na prudence aliyoweka prof. si unaona Mancs wanashindwa kulipa £62 kuja kuangalia timu yao itakavyogalagazwa .... .... ..Hapa vipi wakuu tutatoka na point ngapi?
Arsenal's crowded fixture list
* Dependent on winning Swansea replay
- 13 Jan: Man City (h) Premier League
- 16 Jan: Swansea (h) FA Cup
- 20 Jan: Chelsea (a) Premier League
- 23 Jan: West Ham (h) Premier League
- 26/27 Jan: Brighton (a) FA Cup fourth round *
- 30 Jan: Liverpool (h) Premier League
- 2 Feb: Stoke (a) Premier League
Good news Diaby kapiga kipute na under 21 kacheza dakika 65 na yuko fit ... .... .. . hiyo mechi ilikuwa jana mambo mswano kabisa ... .... .... ... .. ...
Kweli we hamnazo yani unashangilia kurudi kwa mwendawazimu!!! Hv Diaby naye ni mchezaji wa kushangiliwa?
Hata Judas mlikuwa mnamponda hivyo hivyo siwezi kukushangaa ... .... ..... ...khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Karibu sana katika thread yetu hii, kuwa mvumilivu maana humu kuna watani zetu wengi tu wanakuja kuchafua hali ya hewa.Jamani mimi mwana arsernal naomba mnitambue
Saa moja...game saa ngapiii
game saa ngapiii