Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Thomas-Vermaelen-of-Arsenal-5-protests-to-ref_2885442.jpg
Edin-Dzeko-of-Manchester-City-shoots-from-a-p_2885447.jpg
James-Milner-of-Manchester-City-7-is-congratu_2885451.jpg
 
coach kafanya maamuzi ya haraka alikuwa asimtoe Alex,
Wilshere alikuwa arudi nyuma na kufanya mashambulizi ya kushtukia lakini kaua mbele hakuna kitu tena sio rahisi kuanziasha mashambulizi
Dean ana historia mbaya na Arsenal
Penalt ni sawa lakini Teves alikuwa mtu wa mwisho Red card ni ???? ngoja nikaiangalie kwenye review kama ni mtu wa mwisho au
 
coach kafanya maamuzi ya haraka alikuwa asimtoe Alex,
Wilshere alikuwa arudi nyuma na kufanya mashambulizi ya kushtukia lakini kaua mbele hakuna kitu tena sio rahisi kuanziasha mashambulizi
Dean ana historia mbaya na Arsenal
Penalt ni sawa lakini Teves alikuwa mtu wa mwisho Red card ni ???? ngoja nikaiangalie kwenye review kama ni mtu wa mwisho au
Kafanya vizuri tu sema kakosea kumtoa Ox, angesaidia kwenye counter attack.

Hapa ndio nimemkumbuka Song, angeshuka kupiga mkoba vizurri tu
 
Mwambie kwa WACHA 1 ndo uje kuniambia na mimi. Akiwa anatoa lugha chafu nyi si huwa mnamgongea likes?

Nilimuona fagason anashangilia kuwafunga liver utadhani kashinda UEFA shame on him
 
Wacha1 hii ni nafasi ya kulalamika tena kwani ndio jambo unalolijua.Badala ya kuongelea Webb kila siku sasa umepata na Mike Dean.Pole sana kwa kupenda timu ya vilaza.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom