Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Dakika ya 90
Southampton 1-1 Arsenal
Gibbs vipi?????
Dakika 3 za nyongeza
Southampton 1-1 Arsenal
Gibbs vipi?????
Dakika 3 za nyongeza
Gervinho kazidi aisee
Dah!........Mshikaji una GUBU ka'a Asha Ngedere ati.....ashukuriwe mwamuzi wa pembeni kwa kuwabeba, mlishachapya leo
Sagna katuangusha leo ile clearance ni ya kizembe ... ..... .... .... tumepoteza points muhimu hapa ... ... .
Mechi zinazofuata: Ugenini kwa Man City, Ugenini kwa Chelsea, Emirates na West Ham kisha kuikaribisha Liverpool.
Asante mkuu.Swansea vs Arsenal (away)-FA cup alafu Arsenal Vs City (home)-EPL then Chelsea vs Arsenal (Stamford bridge) kisha Arsenal vs Liverpool (home)
rekebisha hapo
Dah.............
Ramsey naye hovyo kabisa......Kapoteza mpira, tumekoswakoswa kufungwa......
Kipa katuokoa sana leo
Kwani Man Utd si mmeshacheza na Wigan?.......
Ama Saints nao ni sehemu ya United?