Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sijajua Point ya AW kumchezesha Theo .... Au ndo kumuweka kweye display ili wanaomtaka watoe dau nono?????
 
Absolutely thats why I asked you if you sleep with Prof ... ...if you know what I mean! Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Unhappy new year .. ... ooooooops I mean Happy new year but unhappy results.


Pole Juda anaendelea kugawa dozi,mlituuzia bei chee sana
 
Tatizo sie tuko kimya sana.watu wanafanya kweli.

Tufanye haraka tumpe mkataba Walcott tukizubaa tutasikia kashakubaliana na timu nyingine.

Yani ushabiki kitu kizuri sana, mdau unaongea kwa hisia sana, nadhani ungekuwa na uwezo ungesajili Ba
 
kama midfilders imepotea ivi na mipango ya magoli haionekani
 
Wafaransa vp hawa??? Kwa KOS with his stupid clearance then SAGNA............ UPUUUUUZIIIII
 
Huyu kocha wa Saints kafanana sana na Fagason,naamini atatubeba leo
 
Wenger anafanya kosa kubwa leo, kutokuchezesha forward kisa tu Walcot kaonesha uwezo wa kufunga mechi mbili zilizopita. Kiungo anabaki kuwa kiungo na forward anabaki kuwa forward tu. Forward ana uwezo wa kufunga hata kwa kichwa kitu ambacho walcot si mtaalam sana
 
Wenger anafanya kosa kubwa leo, kutokuchezesha forward kisa tu Walcot kaonesha uwezo wa kufunga mechi mbili zilizopita. Kiungo anabaki kuwa kiungo na forward anabaki kuwa forward tu. Forward ana uwezo wa kufunga hata kwa kichwa kitu ambacho walcot si mtaalam sana


Lini wewe ulikuwa kocha ... ... ...

 
Tatizo washabiki wa gooners hawaonekani humu, hadi tuongoze ndo wanakuja
 
Back
Top Bottom