Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger anafanya kosa kubwa leo, kutokuchezesha forward kisa tu Walcot kaonesha uwezo wa kufunga mechi mbili zilizopita. Kiungo anabaki kuwa kiungo na forward anabaki kuwa forward tu. Forward ana uwezo wa kufunga hata kwa kichwa kitu ambacho walcot si mtaalam sana
Hayo ni mambo ya Ngoswe mtani.........Siku zote inatakiwa aachoiwe Ngoswe
 
sipati picha kabisa..kucheza na timu kama b.munich ni mtihani mzito, kama mambo yenyewe ndo haya
 
Halafu wanamuachia sana Steven davis huku wing ya kulia anapiga cross. Atatuua huyu jamaa mda si mrefu
 
AW bana.....Badala ya kumuingiza Rosicky anamuingiza Ramsey.....

Carzo
la anatoka, anaingia Ramsey......Chamberlain anatoka anaingia Gervinho
 
Back
Top Bottom