naona mmeanza kwa kasi ya jet..
webb at the middle of the pitch..
Katumwa na Manure si keshachukua brown envelope ... .... .... .. yaani kwa kulilia mechi za Gunners hajambo!
hizi jezi zenu duu mboni za ajabu ivo..
Naona leo Wenger kapanga kikosi cha ushindi.....Kaamua kuachana na madharau yake
Tuombee nyingine kwa Sheikh man sour chichi mpunga umeisha ... ... ... ...
Hii beki yetu vipi????
Kikosi cha ushindi kaka
hizi faulo hizi sijui..
Arteta...........
Ngoma ngumu sana hii
Unaona Howard Webb anashindwa kutoa card hapo ... ... ... brown envelopes ... ... ..
BTW umewaona wanaoshabikia mashoga jana waliunyuti khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee wanakuja kuwanga hapa ... ...