Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
Wakuu Kashengo na wengine mambo niaje?
Dogo Theo Walcott usiku huu katia saini mkataba wa miaka minne.
Atakuwa akilipwa paundi 90000 kwa wiki.
Arsenal FC watatangaza kesho.
Pia deal la mshambuliaji Adrian Lopez nalo linaweza kukamilishwa kesho au mwishoni mwa wiki.
Kesho ntakuwepo hapa kutoa data.
akhsante kwa taarifa...pamoja