Ramirez naye anatolewa
AW bana.....Badala ya kumuingiza Rosicky anamuingiza Ramsey.....
Carzola anatoka, anaingia Ramsey......Chamberlain anatoka anaingia Gervinho
Tumezidiwa
Mbeleko.com
Gervinho hana msaada wowote so far....Anatugharimu tu kwa kupoteza mipira hovyo....Bora OX angebaki tuBala kuingia kwa Gervinho ni kuua beki wao wa kulia asipande...game ya physic Tomas haziwezi ni kama Santiago alivyochemsha Leo
Mbeleko ipi?Mbeleko.com
Gervinho hovyo kabisa
Gervinho kazidi aiseekwa haya nnayoyaona leo, hayuko peke ake mf anayoyafanya sagna mmh!