Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kila coach huwa anatafuta wachezaji wanaofit mchezo wake hilo moja, alafu BA ile clause yake iko known sana kwa vilabu vingi AW anasubiri Last ditch wazongeane wamshindwe yeye anakuja wa mwisho ndo alivyo

tatizo Ba anahitaji pesa nyingi .. na history ya mguu wake sidhani arsene will risk that.. but we need a player like him...
 
Tatizo la Wenger ni mzito sana wa kufanya maamuzi nakumbuka alikuwa awasajili Mata,Cahill akashangaa Chelsea wakamuwahi
 
yaani wenger anashindwa hata kumnunua demba ba mpaka anaenda chelsea? alicost only 7mil aibu zenu sasa kama mnashindwa kutoa hiyo hela kwa ba mtaweza kumnunua Nani kweli? ndo mana fergie amekataa kwa sababu anajua nyie njaa kali hamna hela

Unaandika porojo weka hoja. Prof kwenye press conference yake alisema hatamnunua, chacha wewe unaandika hadithi za alinacha. Je unafahamu kwa kina nini kimemshinda kusaini na Chelsick? Wacha ngebe .... .... ..

BTW Prof hanunui kwa sababu tabloids zinasema nini na keshasema maswala ya kunua mchezaji yoyote ni siri ya club na mchezaji, sioni kama Bar atacheza Arsenal. Manure wamnunue ... .. waongeze idadi ya mashoga si wale wengine wanastaafu.



Tatizo la Wenger ni mzito sana wa kufanya maamuzi nakumbuka alikuwa awasajili Mata,Cahill akashangaa Chelsea wakamuwahi

Naona chiku hizi unapata info za Prof. vipi alikutonya?
 
Wacha1, kwenye press conference pia alisema Fabregas,RVP hawauzwi lakini unajua kilichotokea
 
Last edited by a moderator:
tatizo Ba anahitaji pesa nyingi .. na history ya mguu wake sidhani arsene will risk that.. but we need a player like him...

kwa habari za uhakika jana chelsea walifikia Dau lake tatizo ni hawakumwakikishia kuanza first eleven kama striker au right winger...inasemekana hawakuwa na mpango wa kumwanzisha kama mshambuliaji akakataa DEAL
 
Tatizo la Wenger ni mzito sana wa kufanya maamuzi nakumbuka alikuwa awasajili Mata,Cahill akashangaa Chelsea wakamuwahi

hapana si maamuzi yake unajua nini mchezaji akiwika anakuwa na bei ya ajabu ajabu "inflated price" sasa wakati una negotiate wapunguze kiasi Real Madrid,Chelsea na Man city,PSG, anzhi wanakuja na Blank cheque utafanyeje? Na mawakala wanajua mchezaji "hot cake" wanachelewesha deal ili wenye pesa za kumwaga waje na wapate % kubwa...unamkumbuka Lucas Moura alivyonyakuliwa na Psg? Ndo iko hivyo Belo
 
Last edited by a moderator:
Wakuu,

Msiwe na wasiwasi kwani Arsenal "behind the scenes" wameweka mezani kwa Athletico Madrid paundi milioni 10 kutaka kumsajili Adrian Lopez.

Kama nilivyosema hapo awali kwamba huyu ni mmoja wa wachezaji wanaohitajika kwenye timu yetu, Lopez ni mshambuliaji na atawasaidia Giroud na Walcott.

Mchezaji mwingine wa timu hiyo Ramadel Falcao ameamua kubakia kuchezea timu yake hiyo hivyo kumfanya Lopez kuwa sio muhimu sana. Msimu uliopita Adrian alifunga magoli19 na tokea msimu huu uanze amecheza mechi 17 na kufunga magoli 2 tu.

Hata hivyo gharama halisi ya kumnunua Lopez ni kiasi cha paundi 14 milioni kulinganisha na milioni 10 ambazo Arsenal imeweka mezani kufanya kuwepo na upungufu wa milioni 4.

Kama mchezaji huyu atasajiliwa basi tutakuwa na mchezaji mshambuliaji wa kwanza kusajiliwa kwenye majira ya baridi katika bara la Ulaya.
 
Nawatakia heri ya mwaka mpya GUNNERS wote,MUNGU awalinde na awabariki

we na Belinda Jacob ni mashabiki pekee wa manure hapa JF mlio na sense of humour na ushabiki wa kiutu uzima kwa kweli...endelea hivyo hivyo usiwe kama wengine ushabiki wao ni kuzinanga timu zingine tu na kutwa kucha..

BIG UP
 
Last edited by a moderator:
usajili wa safari hii ni kimya kimya tutashtukia tu kwani watu wanaangalia wapi Arsenal wanakwenda ili wao waeke dau kubwa
nahisi kama atakuja kiungo mmoja na halfback kama wakikubaliana na huyo halfback bado hali ni tete Wenger hataki kufanya papara
 
Happy New Year Gunners wote! Mwaka 2013 uwe wa mafanikio on and off the pitch!!! Have a good one!!
 
Happy New Year wakuu, how i wish WALCOT signs a new deal! He would be our next Thiery Henry!
 
Nawatakia heri ya mwaka mpya GUNNERS wote,MUNGU awalinde na awabariki

Hata mimi? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Happy new year, enjoy .... ..... .. before todays match, I wish you to lose to your nemesis.

 
Wacha1, kwenye press conference pia alisema Fabregas,RVP hawauzwi lakini unajua kilichotokea

Absolutely thats why I asked you if you sleep with Prof ... ...if you know what I mean! Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Unhappy new year .. ... ooooooops I mean Happy new year but unhappy results.

 
i've heard abt dis luke shaw, how z the guy coz dey say ts the next bale n premier league; bt lets look him n st mary's clash
 
Mambo yote leo yako kwa the so called saints..! Nadhani vijana watachacharika tusije tukauumbuka...

Tutakua pamoja baadae .....

COYG...
 
Szczesny, Sagna, Koscielny, Vermaelen, Gibbs, Arteta, Wilshere, Oxlade-Chamberlain, Cazorla, Podolski, Walcott
 
Wapendwa wana Gunners, awali ya yote niwatakia mafanikio (kiuchumi, kisiasa, kijamii, etc etc etc) katika mwaka huu ulioanza leo hii. Pili, Ushindi wa leo utatuweka pazuri sana, hope tutashinda....vijana wajitume....

Happy New Year Gunners + Non-Gunners!
 
Back
Top Bottom