jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 10,997
- 10,645
Wakuu, heshima mbele.
Kwa kweli Newcastle walidhamiria kutaka kutukwamisha lakini baada ya kuwa 4-3 mbele, Arsenal wakaanza kutupa sucker punches na Newcastle hawakuwana majibu.
Demba Ba lazima aje Arsenal tuwe na akiba nzuri ya washambuliaji.
Mkuu Demba Ba goti nasikia linasumbua, sasa asije sajiliwa halafu ikawa issue.
mie naona tatizo sio strikers bali ni kipa mwenye safe pair of hands, central defender na attacking midfielder.