Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Giroud nae alikua achukue Mpira asee..... Ile chance ya mwisho haikua bahati......
 
Wenger hiki kikosi anachoanza nacho aje kuaribu mwenyewe.

Safi sanaaaaaa game tamu sana. Sasa wampa Walcott hela anayotaka amwage wino kabla timu zijamtolea macho.

Hongereni wakuu
 
Tatizo AW na management wanataka kumlalia wakati MANU, MANC na Tottenham wako tayari kumpa mshiko mzuri. Wasipokuwa makini naye ataamua kuivua jezi.

Walcot apewe tu mkataba mnono!!
Now naona umuhimu wake!!
 
Manure urinated mi bado.nina nyinyi that's how you win against Newcastle bila kutisha marefa unafunga mahesabu mapemaaa....


Coyg
 
Ebwana leo nime wakubali nakumbuka zile enzi zetu za kupiga mtu 7 chelsea!...
 
other things remain constant.. swali ni je wataendelea kucheza kama walivyocheza leo kwa mechi zote zilizo baki?
 
other things remain constant.. swali ni je wataendelea kucheza kama walivyocheza leo kwa mechi zote zilizo baki?

Mkuu hawa madogo ni nguvu ya soda ngoja mtanange ukolee wakijitahidi ni kucheza UEFA!...
 
kuna mtu anaitwa GIROUD,na mwingine WALCOT mi sijui wanachezea team gan, ila ni hatariii.:becky::becky::majani7::majani7:
 
Tatizo AW na management wanataka kumlalia wakati MANU, MANC na Tottenham wako tayari kumpa mshiko mzuri. Wasipokuwa makini naye ataamua kuivua jezi.
Its time kwa mgt ya Arsenal kubadilika. Dogo anajituma sana, umuhimu wake kwenye timu unaonekana. Sioni kama ni tatizo akipewa hata 100-120k!
 
Bado najiuliza kwanini AW anakuwa na kigugumizi kukubaliana na Walkot ili acheze kama stricker muda wote. Bila shaka dogo angeshamwaga wino Emirates. Ametokea kuwa mfungaji mzuri kuliko hata hawa signed Strickers!
 
Nakubaliana nawe kabisa Mkuu Rejao. Imefikia wakati wa Gunners kuhakikisha haipotezi wachezaji wake wazuri. Timu yoyote ile duniani lazima itetereke pindi inapotokea kupoteza wachezaji wake sita/saba wa first eleven. Imagine kama wote wangekuwa bado wako Gunners saa hizi tungekuwa tunatesa kwa raha zetu si katika EPL tu bali hata UEFA.

Its time kwa mgt ya Arsenal kubadilika. Dogo anajituma sana, umuhimu wake kwenye timu unaonekana. Sioni kama ni tatizo akipewa hata 100-120k!
 
Last edited by a moderator:
‎11 goals and 9 assists for Giroud in half a season. I love flops like him:becky::becky:
 
Back
Top Bottom