Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tukubalini tu matokeo! Lakini siyo siri hili litimu letu ni pasua kichwa na linazidi kutukondesha tu lol!
 
Naimagine timu nzima itakavyokuwa inajisikia kwa sasa baada ya kuzomewa na mashabiki. Tatizo ni Wenger au ni Wachezaji??
 
Msajilini Michu January

Unafikiria timu yako ambayo imezoea zima moto ... .. we are Gunners hiyo ndio tofauti.

poleni sana...

Wacha fujo wewe nyie timu yenu vipi leo .. ... ..au bado maumivu ya kuondolewa CL yanaendelea kuuma?

Ila tuache jamani hawa Watoto Swansea ni kiwango cha Barcelona

Aibu hiyo kiwango unapima vipi? Mchezo wa leo tumepoteza ndio EPL hiyo, kuna mechi utashinda na nyingine utashindwa unfortunately mechi ya leo tumeshindwa kwa sababu Prof alikuwa anafanya balance na mechi ya J4 ambayo ni muhimu vile vile kama tutashinda ugenini. Wachezaji wengi leo kiwango kilikuwa kimeshuka sana huu ndio wakati wa kukomaa maana mechi zinakuja kwa kasi. Sina wasi wasi na Prof atabadilisha mambo bado tunachechemea tutakapoanza kuwa consistent tutapanda tu hapo juu .. ... ... ..

 
Arsenal+v+Swansea



we want our arsenal back

we want our arsenal back

wenger out wenger out

:biggrin1::biggrin1:
 
BREAKING NEWS:

"Serikali imepiga marufuku watanzania waishio tanzania kushangilia timu ya arsenal kwa vile inaipa serikali hasara kubwa kuwapeleka wagonjwa kutibiwa india.imegundulika zaidi ya asilimia 99 ya wagonjwa wa kisukari na presha wanaopelekwa kutibiwa india ni washabiki wa arsenal na wagonjwa huongezeka kwa wingi kila arsenal inapofungwa"

source:sehemu ya ubongo wangu inayofikiria jinsi ya kuwakera mashabiki wa arsenal.teh!teh!teh
 
Viper kashengo wakati season inaanza walikua wanatucheka man utd tulivokua tunaachia magoli eti wenyewe wakawa wanasema wana strong defence hawaachii magoli wanashinda 2-0 1-0 au wanatoa draw 0-0 mi nilikua nawacheki tu na niliwaambiaga kua nyie nguvu ya soda its just a matter of time mtaanza kuachia and boy was i sooo right :biggrin1:
 
Last edited by a moderator:
kweli, Arsenal wakicheza vizuri coach anabadili timu hapo ndipo watu wanajiuliza kwanini wabadilishe ? kwanini hatubadilishi for better?
Viper kashengo wakati season inaanza walikua wanatucheka man utd tulivokua tunaachia magoli eti wenyewe wakawa wanasema wana strong defence hawaachii magoli wanashinda 2-0 1-0 au wanatoa draw 0-0 mi nilikua nawacheki tu na niliwaambiaga kua nyie nguvu ya soda its just a matter of time mtaanza kuachia and boy was i sooo right :biggrin1:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom