Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

pengine unaangalia small picture .. ...timu ambayo ni headlines kila siku, sio timu ya vichochoroni, gunners under the city ni imara na dira yake inaangaza kona zote za ulimwengu, kama huwezi kufungwa basi wewe sio mshindani, ni arsenal pekee ambayo iliweza kutwaa ubingwa bila kufungwa chini ya prof. , chacha njomba kama hii ni timu ndogo unafanya nini kwenye hili jukwaa? Au ndio kuweweseka kwenyewe ... ... Timu ambayo imefungwa magoli mengi hadi hivi sasa kwenye epl sio arsenal na epl bado mbichi kabisa wala hatuna wasi wasi .. .. .stay tuned j4 tunakwenda kwenye cl hao swan tutakwenda kuonana nao kwao, tutaona kama wanafahamu kitale au ilikuwa bahati nasibu .. ... ..

prof knows wala isikupe shaka, yupo pale kuona mambo yanakwenda mswano na ndio anawanyima usingizi hadi mkome ... ... .. Khe khe khe khe kheeeeeeeee you can't buy class. Ndio epl hiyo kama huwezi mikiki mikiki yake kaa pembeni mahesabu mwezi may mwakani.

sahau kabisa kuhusu ubingwa mkuu labda kama wale greed ppl watoke katika uongozi wa washika bunduki wa kaskazini mwa london. Subilia kipigo next weekend toka kwa west brom
 
Tutafika2 ni mapito

Jipe moyo humu jf wenzako jana maelfu wenye sizoni tiketi walikwenda pub kupiga kitungi na kuangalia the hammers wanavyomchalaza chelsea badala ya kwenda kuangalia mchezo wa kuigiza the emirates
 
fa cup ! tumepewa Swansea tena ! revenge time:becky:

:biggrin1: kama mmeshindwa kuwafunga emirates mtaweza kuwafunga kwao wales? na babu wenu navomjua atachezesha madogo wa reserve team....hapo naona kipigo tu kwenu
 
:biggrin1: kama mmeshindwa kuwafunga emirates mtaweza kuwafunga kwao wales? na babu wenu navomjua atachezesha madogo wa reserve team....hapo naona kipigo tu kwenu

nakwambia tutawachapa na reserves haohao... tena na lle baridi la wales ... kisasi kitakuwa kitamu zaidi ....
 
someni hii goners wote mnaolalamika.....


Wise words from a 55 year old gooner.
Hopefully the newbies and impatient ones, will find inspiration.

Taken from an arsenal page. "Steve Bould"

"All this talk about failures since 2006 seem short sighted to me. I started following the Gunners around 1968 and there was a loooooong time there when that was a difficult choice..Arsenal were too inconsistent and Boring..Were nearly relegated in the late 70's...We were never a European Powerhouse even when we were winning Doubles in England..From 1986 to 1995, Graham George won us 2 league titles,1 FA Cup and 2 League cups but we played sum very Boring Football similar to Chelsea parking the bus..we were the 16th richest club in Europe and UTD were catching up fast...

Then came an unknown Frenchmen named Arsene..Atfirst,evryone doubted him and in his 2nd year as manager, he won the League for us..Under wenger,we have seen some of the best Arsenal teams in a history stretching back more than a CENTURY..I agree that some changes need to be found but sacking Wenger seems a curious option if you remember what it was like before him..By Building the stadium he tried to make Arsenal an European Powerhouse and now we are the 5th richest club in the world with a 100 million debt..

If we finish out of top 4, Arsene will resign for sure..but then what? How many manager can handle a team with a low budget..Klopp can but will he leave dortmund??so we are out of champions League with a new manager..we will spend big..what of we get a Torres or a Carroll??We will fall like Liverpool..both manchester clubs and chelsea are far superior to us financially..So sacking wenger is not a solution


What is needed now perhaps is a shift in perspective for Wenger that allows him to see the team in a new light to allow for new directions and ideas and hopefully recognize what kind of new players might help build us a new Invincibles with the players of talent and willpower for the job. We are soooo close with this team and Diaby got injured..with 2-3 players in Jan, we will be back on track... Maybe the gell needed is a true Captain to marshall the troops??"

 
"You've let us down and you've been letting us down all season. None of you are taking responsibility."

"Steve Bould"


Arsene+Wenger+the+Arsenal+Manager+and+his+assistant+manager+Steve+Bould



No more touchy-feely culture – Gunners players get both barrels from big Steve after their defeat at Emirates by Swansea.......


Steve Bould branded Arsenal's under-performing flops a big "let down" in a furious dressing room inquest.
Arsenal No.2 Bould tore into the players after their defeat to Swansea as he questioned their commitment and responsibility after a string of bad results.

Bould shouted: "You've let us down and you've been letting us down all season." And Bould also roared: "None of you are taking responsibility."


The dressing room inquest lasted more than 40 minutes as Bould's patience finally snapped after defeat left Arsenal floundering in mid-table after the worst start to a campaign in Arsene Wenger's 16-year reign.

Arsenal's players have complained they have been left shattered by a gruelling fixture programme but, crucially, some players have complained that training levels have not been scaled back as they are at other clubs in the Champions League.



That has come as a culture shock to big-name summer signings Lukas Podolski and Santi Cazorla and Arsenal are likely to rest as many players as possible for the final Champions League Group match at Olympiacos tomorrow night (TUES).



Theo Walcott, Jack Wilshere and Lukas Podolski will not fly to Athens later today (MON) while Santi Cazorla and Mikel Arteta may also be rested.


It is also understood that more players would be given a complete break but three youngsters who would have gone - Nico Yennaris, Serge Gnabry and Ignasi Miquel - are all struggling with knocks.


Wenger has clearly taken on board the players' complaints of being tired after the dressing room inquest but it is also believed Bould is now pushing to do more specific coaching sessions and drills to save Arsenal's season.


Andrey Arshavin and Marouane Chamakh were both axed from Arsenal's match day squad against Swansea and are both up for sale in January to help fund a major rebuilding programme. Unless Theo Walcott signs a new deal they will look to sell him next month.




Arsenal are in for Schalke's Klaas Jan Huntelaar after glowing scouting reports throughout November and Wenger is under pressure from the fans and from within to spend big in January with serious cash available.


Wenger has been alerted that Chelsea may be willing to offload Frank Lampard - Arsenal were offered Michael Essien in August as the Blues look to trim their wage bill - but the England midfielder has had big offers from the MLS next summer.

Wenger, who will bring in Thierry Henry on loan in January, has had PSV midfielder Kevin Strootman watched and are likely to bid for Crystal Palace's Wilfried Zaha. Derby's Will Hughes is on their January radar as one for the future.


Meanwhile, Arsenal chairman Peter Hill-Wood is making a "good recovery" after a heart attack last Friday. His health will now be assessed before it is decided whether he can carry on.




[h=2]Boxing Day derby threat
[/h]
Arsenal are likely to postpone their Boxing Day clash with West Ham because of a Tube strike.
Gunners chiefs did the same last year because of similar industrial action and put back the game with Wolves by 24 hours but they cannot do it again. They play Newcastle on December 29 so have no scope to delay the West Ham game, so it will be rescheduled for the New Year.


Arsenal feel they owe it to fans to decide on the game sooner rather than later to allow those from further afield to arrange their travel plans. Tube workers may not hold a final ballot until December 19.


 
mbona tuna wachezaji zaidi ya 25 jee wale wengine tumewaeka kwasababu gani?
"You've let us down and you've been letting us down all season. None of you are taking responsibility."

"Steve Bould"


Arsene+Wenger+the+Arsenal+Manager+and+his+assistant+manager+Steve+Bould



No more touchy-feely culture – Gunners players get both barrels from big Steve after their defeat at Emirates by Swansea.......


Steve Bould branded Arsenal's under-performing flops a big "let down" in a furious dressing room inquest.
Arsenal No.2 Bould tore into the players after their defeat to Swansea as he questioned their commitment and responsibility after a string of bad results.

Bould shouted: "You've let us down and you've been letting us down all season." And Bould also roared: "None of you are taking responsibility."


The dressing room inquest lasted more than 40 minutes as Bould's patience finally snapped after defeat left Arsenal floundering in mid-table after the worst start to a campaign in Arsene Wenger's 16-year reign.

Arsenal's players have complained they have been left shattered by a gruelling fixture programme but, crucially, some players have complained that training levels have not been scaled back as they are at other clubs in the Champions League.



That has come as a culture shock to big-name summer signings Lukas Podolski and Santi Cazorla and Arsenal are likely to rest as many players as possible for the final Champions League Group match at Olympiacos tomorrow night (TUES).



Theo Walcott, Jack Wilshere and Lukas Podolski will not fly to Athens later today (MON) while Santi Cazorla and Mikel Arteta may also be rested.


It is also understood that more players would be given a complete break but three youngsters who would have gone - Nico Yennaris, Serge Gnabry and Ignasi Miquel - are all struggling with knocks.


Wenger has clearly taken on board the players' complaints of being tired after the dressing room inquest but it is also believed Bould is now pushing to do more specific coaching sessions and drills to save Arsenal's season.


Andrey Arshavin and Marouane Chamakh were both axed from Arsenal's match day squad against Swansea and are both up for sale in January to help fund a major rebuilding programme. Unless Theo Walcott signs a new deal they will look to sell him next month.




Arsenal are in for Schalke's Klaas Jan Huntelaar after glowing scouting reports throughout November and Wenger is under pressure from the fans and from within to spend big in January with serious cash available.


Wenger has been alerted that Chelsea may be willing to offload Frank Lampard - Arsenal were offered Michael Essien in August as the Blues look to trim their wage bill - but the England midfielder has had big offers from the MLS next summer.

Wenger, who will bring in Thierry Henry on loan in January, has had PSV midfielder Kevin Strootman watched and are likely to bid for Crystal Palace's Wilfried Zaha. Derby's Will Hughes is on their January radar as one for the future.


Meanwhile, Arsenal chairman Peter Hill-Wood is making a "good recovery" after a heart attack last Friday. His health will now be assessed before it is decided whether he can carry on.




[h=2]Boxing Day derby threat
[/h]
Arsenal are likely to postpone their Boxing Day clash with West Ham because of a Tube strike.
Gunners chiefs did the same last year because of similar industrial action and put back the game with Wolves by 24 hours but they cannot do it again. They play Newcastle on December 29 so have no scope to delay the West Ham game, so it will be rescheduled for the New Year.


Arsenal feel they owe it to fans to decide on the game sooner rather than later to allow those from further afield to arrange their travel plans. Tube workers may not hold a final ballot until December 19.


 
Be patient ... Utawaona champions league .. wengi wa kikosi cha kwanza hawatakuwepo watapumzika as they are jaded..

kusema wamechoka ndo maana walifungwa si sawa Viper mbona Manure nao walicheza na west ham jumatano? Hapo wachezaji wameshaathirika kisaikolojia kwani coach anasema kwenye media "we cannot compete with top teams" sasa washindane nini na boss anadai baada ya Two years ikija FFP?

Tofauti yetu na kikosi cha manure ni safu ya washambuliaji..wao wakali hapo kwingine kawaida ila winning mentality,fighting spirit,na taking responsibility na kocha wao MKALI SANA hataki ujinga ujinga mi naona kocha wetu ana uvumilivu usio na mipaka kwa baadhi ya underperfomers mpaka Fans wacharuke kwenye majukwaa nani angetegemea Andre Santos kucheza baada ya upuuzi alioucheza game ya Schakle pale Emirates?

AW awe mkali na anunue striker wa kumsaidia Giloud na msaidizi wa Kirean Gibbs, pia awe na game plan sio kupiga pasi na kuishia kudraw au kufungwa hata kushoot mbali napo hakuna? unaweza kujiuliza game yetu pale Old traford tulikwenda kucheza kushinda au kuchezacheza ushindi uje kama bahati?

Ukitazama vizuri kikosi kiko poa na hatuna vitoto kama previous seasons ila TACTICS zake nazitilia shaka kidogo na njaa ya makombe hata kama si UCL na EPL kuna FA na capital one arejeshe kujiamini mi naona players wengi wanacheza "for fun" sio kushinda chochote na hili ni jukumu la Manager nae aache kuwa kama politician akomae na pitch success

Fans wakiendelea na BOOS yeye atafanya kazi kwa presha na hapo ndo ata deliver hata medali ila kwa kurelax imeshindikana kwa 8 years ila bado si wakati wa AW kuondoka ila abadilike au akubali heshima yake iporomoke kwa royal fans

"Judge my team in may" imekuwa msemo wake ila tushaona nini hutokea top 4 finish sasa wasiwasi mkubwa tunazidiwa consistency mpaka na West Brom na Swansea city? Hapo mi sioni Gazidis na Stan wanaingizwaje hapo ilo la Wenger na Bould

swali: mbona timu ilikuwa inakaba yote game 5 za mwanzo za ligi sasa wameishia wapi?

Nakala kwa: MwafrikaHalisi Rejao BAK Katavi Questt Wandugu Masanja Ulimakafu Richard Jaguar Wacha Balantanda na wote wana Arsenal hapa JF
 
Last edited by a moderator:
kusema wamechoka ndo maana walifungwa si sawa Viper mbona Manure nao walicheza na west ham jumatano? Hapo wachezaji wameshaathirika kisaikolojia kwani coach anasema kwenye media "we cannot compete with top teams" sasa washindane nini na boss anadai baada ya Two years ikija FFP?

Tofauti yetu na kikosi cha manure ni safu ya washambuliaji..wao wakali hapo kwingine kawaida ila winning mentality,fighting spirit,na taking responsibility na kocha wao MKALI SANA hataki ujinga ujinga mi naona kocha wetu ana uvumilivu usio na mipaka kwa baadhi ya underperfomers mpaka Fans wacharuke kwenye majukwaa nani angetegemea Andre Santos kucheza baada ya upuuzi alioucheza game ya Schakle pale Emirates?

AW awe mkali na anunue striker wa kumsaidia Giloud na msaidizi wa Kirean Gibbs, pia awe na game plan sio kupiga pasi na kuishia kudraw au kufungwa hata kushoot mbali napo hakuna? unaweza kujiuliza game yetu pale Old traford tulikwenda kucheza kushinda au kuchezacheza ushindi uje kama bahati?

Ukitazama vizuri kikosi kiko poa na hatuna vitoto kama previous seasons ila TACTICS zake nazitilia shaka kidogo na njaa ya makombe hata kama si UCL na EPL kuna FA na capital one arejeshe kujiamini mi naona players wengi wanacheza "for fun" sio kushinda chochote na hili ni jukumu la Manager nae aache kuwa kama politician akomae na pitch success

Fans wakiendelea na BOOS yeye atafanya kazi kwa presha na hapo ndo ata deliver hata medali ila kwa kurelax imeshindikana kwa 8 years ila bado si wakati wa AW kuondoka ila abadilike au akubali heshima yake iporomoke kwa royal fans

"Judge my team in may" imekuwa msemo wake ila tushaona nini hutokea top 4 finish sasa wasiwasi mkubwa tunazidiwa consistency mpaka na West Brom na Swansea city? Hapo mi sioni Gazidis na Stan wanaingizwaje hapo ilo la Wenger na Bould

swali: mbona timu ilikuwa inakaba yote game 5 za mwanzo za ligi sasa wameishia wapi?

Nakala kwa: MwafrikaHalisi Rejao BAK Katavi Questt Wandugu Masanja Ulimakafu Richard Jaguar Wacha Balantanda na wote wana Arsenal hapa JF

Kumbe huwa mnajua ukweli wa mambo badala yake mnapiga kelele za kuonewa na kubebwa
 
BAK sio swala la ubahili wala nini, mpira wa jana vijana walikuwa hawako 90 - 100% ndio Premier League hiyo huwezi kumwaga pesa kama Man City, au Chelsick or Man Utd na ukafikiri basi hiyo ndio neema. Judas alikaa miaka nane na ame perform mwaka moja .. .. .. let them go tunahitaji wachezaji wanaopenda kuichezea Arsenal na hakuna mchezaji ambaye ni bigger than the club. Rangers wako wapi? Chelsick wamefungwa jana, last few weeks Manure walipigwa ndio EPL hiyo lazima uwe 90 -100% kila mechi Ooops baki Manure ambao wanatumia bahasha etc. wanabebwa na mbeleko kama katoto kadogo .. .. usiwe na shaka msimu bado mrefu sana tutaona hii December itaishaje na huwezi kutoa judgement hadi May uone timu itakuwa wapi?

Wacha wanoko waseme lakini wanafahamu mziku wa prof ni mnene na hawawezi kuucheza ... ...


Bila shaka malaria imepanda kichwani
 
kusema wamechoka ndo maana walifungwa si sawa Viper mbona Manure nao walicheza na west ham jumatano? Hapo wachezaji wameshaathirika kisaikolojia kwani coach anasema kwenye media "we cannot compete with top teams" sasa washindane nini na boss anadai baada ya Two years ikija FFP?

Tofauti yetu na kikosi cha manure ni safu ya washambuliaji..wao wakali hapo kwingine kawaida ila winning mentality,fighting spirit,na taking responsibility na kocha wao MKALI SANA hataki ujinga ujinga mi naona kocha wetu ana uvumilivu usio na mipaka kwa baadhi ya underperfomers mpaka Fans wacharuke kwenye majukwaa nani angetegemea Andre Santos kucheza baada ya upuuzi alioucheza game ya Schakle pale Emirates?

AW awe mkali na anunue striker wa kumsaidia Giloud na msaidizi wa Kirean Gibbs, pia awe na game plan sio kupiga pasi na kuishia kudraw au kufungwa hata kushoot mbali napo hakuna? unaweza kujiuliza game yetu pale Old traford tulikwenda kucheza kushinda au kuchezacheza ushindi uje kama bahati?

Ukitazama vizuri kikosi kiko poa na hatuna vitoto kama previous seasons ila TACTICS zake nazitilia shaka kidogo na njaa ya makombe hata kama si UCL na EPL kuna FA na capital one arejeshe kujiamini mi naona players wengi wanacheza "for fun" sio kushinda chochote na hili ni jukumu la Manager nae aache kuwa kama politician akomae na pitch success

Fans wakiendelea na BOOS yeye atafanya kazi kwa presha na hapo ndo ata deliver hata medali ila kwa kurelax imeshindikana kwa 8 years ila bado si wakati wa AW kuondoka ila abadilike au akubali heshima yake iporomoke kwa royal fans

"Judge my team in may" imekuwa msemo wake ila tushaona nini hutokea top 4 finish sasa wasiwasi mkubwa tunazidiwa consistency mpaka na West Brom na Swansea city? Hapo mi sioni Gazidis na Stan wanaingizwaje hapo ilo la Wenger na Bould

swali: mbona timu ilikuwa inakaba yote game 5 za mwanzo za ligi sasa wameishia wapi?

Nakala kwa: MwafrikaHalisi Rejao BAK Katavi Questt Wandugu Masanja Ulimakafu Richard Jaguar Wacha Balantanda na wote wana Arsenal hapa JF

Mkuu le prof kasema he is working on that..

1) rotation

2) panic buy will not solve our problems we have to. Fix from inside ...

He might have a point there ... Sababu ukiangalia timu iliyoanza mwanzo mwa msimu ni tofauti kabisaa na hii ya sasa. Same players weeek in week out... Diaby was supposed to be song replacement na kweli aliimudu.vema.Ile nafasi...

Le.prof anasema anafanya shopping wachezaji wawili au watatu ... Nadhani.mmoja atakuwa defensive midfielder...

We will come back .. usihofu.mkuu... Bold keshawafokea wamepata akili...
 
Last edited by a moderator:
BAK sio swala la ubahili wala nini, mpira wa jana vijana walikuwa hawako 90 - 100% ndio Premier League hiyo huwezi kumwaga pesa kama Man City, au Chelsick or Man Utd na ukafikiri basi hiyo ndio neema. Judas alikaa miaka nane na ame perform mwaka moja .. .. .. let them go tunahitaji wachezaji wanaopenda kuichezea Arsenal na hakuna mchezaji ambaye ni bigger than the club. Rangers wako wapi? Chelsick wamefungwa jana, last few weeks Manure walipigwa ndio EPL hiyo lazima uwe 90 -100% kila mechi Ooops baki Manure ambao wanatumia bahasha etc. wanabebwa na mbeleko kama katoto kadogo .. .. usiwe na shaka msimu bado mrefu sana tutaona hii December itaishaje na huwezi kutoa judgement hadi May uone timu itakuwa wapi?

Wacha wanoko waseme lakini wanafahamu mziku wa prof ni mnene na hawawezi kuucheza ... ...


Washabiki wa dizaini yako ndo mnafanya timu izidi kudorora na mtaifanya ishuke daraja soon.
Endeleza mentality zako za BAHASHA afu tuone hiyo AssEno yenu itafika wapi.... Timu yako ni dhahiri mbovu kama BAK alivyoelezea hapo, but wewe unakazania BAHASHA tu, keep it going on n on and we'll see where you'll be hiyo MAY.
*Mnaboa*Unaboa*:A S angry::A S angry::A S angry:
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu le prof kasema he is working on that..

1) rotation

2) panic buy will not solve our problems we have to. Fix from inside ...

He might have a point there ... Sababu ukiangalia timu iliyoanza mwanzo mwa msimu ni tofauti kabisaa na hii ya sasa. Same players weeek in week out... Diaby was supposed to be song replacement na kweli aliimudu.vema.Ile nafasi...

Le.prof anasema anafanya shopping wachezaji wawili au watatu ... Nadhani.mmoja atakuwa defensive midfielder...

We will come back .. usihofu.mkuu... Bold keshawafokea wamepata akili...

Bould hajafoka pale amewalaumu na anaonekana alikuwa anatamani hata kulia wale ni kupiga mkwara tu kama jeshini ila AW ni kocha mpole sana na ndo maana players wengi huwaamini na wanamsnitch....

eti wanasema wanachoka sasa mkuu lini Messi, Cr7,Falcao wamepumzika? Scapegoats mpaka lini?...ngoja tuone atafanya nini maana ni Very sturbon old man ila msimu huu akifeli UCL na angalau kakombe ma fans watanyima usingizi sijui kama ataiweza presha..
 
Bould hajafoka pale amewalaumu na anaonekana alikuwa anatamani hata kulia wale ni kupiga mkwara tu kama jeshini ila AW ni kocha mpole sana na ndo maana players wengi huwaamini na wanamsnitch....

eti wanasema wanachoka sasa mkuu lini Messi, Cr7,Falcao wamepumzika? Scapegoats mpaka lini?...ngoja tuone atafanya nini maana ni Very sturbon old man ila msimu huu akifeli UCL na angalau kakombe ma fans watanyima usingizi sijui kama ataiweza presha..

Soma post yangu hapo juu bold alivosema kwamba... Kama tusipo qualify champions ligue yes Wenger he might stepdown je nani mnataka aje..?

Ni top manager gani.ayakayekubali ku manage timu yenye.unlimited.budget ... Mkuu top payed player arsenal ni podolski 90k per week van manure urinated anakusanya same almost nadhani na anacholipwa Rooney Mara mbili ya podolski....

Baada ya kumsoma bold lawama zangu.nazirudisha kwa. Board ya kronke na.p.hillwood ...

Waachie pesa za kununua top players ..

Wenger Ana.play part.Katika maswala ya kiufundi pale mbinu zake zipo too pridictable ... Na kununua flops.. ambao hata bench hawakai... Mara kumi awa.promote kina aneke na ensfild kutoka under21 madogo wanakipiga kuliko some dudes from our sinior team..

Arshavin ... Needs a game..time Katika position yake...

Chamark alikuwa mzuri Kipindi jack wilshare yupo uwanjani I guess now he can find his form .. capital cup tulimuona ...

Ramsey needs a loan time atafute form .. miyachi.arudi kuchukua nafasi yake


Point ni kwamba kunahutaji adjustment ndogo sana... Timu sio.mbaya ...
 
Soma post yangu hapo juu bold alivosema kwamba... Kama tusipo qualify champions ligue yes Wenger he might stepdown je nani mnataka aje..?

Ni top manager gani.ayakayekubali ku manage timu yenye.unlimited.budget ... Mkuu top payed player arsenal ni podolski 90k per week van manure urinated anakusanya same almost nadhani na anacholipwa Rooney Mara mbili ya podolski....

Baada ya kumsoma bold lawama zangu.nazirudisha kwa. Board ya kronke na.p.hillwood ...

Waachie pesa za kununua top players ..

Wenger Ana.play part.Katika maswala ya kiufundi pale mbinu zake zipo too pridictable ... Na kununua flops.. ambao hata bench hawakai... Mara kumi awa.promote kina aneke na ensfild kutoka under21 madogo wanakipiga kuliko some dudes from our sinior team..

Arshavin ... Needs a game..time Katika position yake...

Chamark alikuwa mzuri Kipindi jack wilshare yupo uwanjani I guess now he can find his form .. capital cup tulimuona ...

Ramsey needs a loan time atafute form .. miyachi.arudi kuchukua nafasi yake


Point ni kwamba kunahutaji adjustment ndogo sana... Timu sio.mbaya ...

Limited budget sio unlimited najua umeteleza kilicho nichekesha zaidi kwi kwi kwi kwi! ni jamaa zangu kuwaita MANURE URINATED duh!

AW anaongoza kuwapanga wachezaji in outside positions mpaka wengine wameflop kama Arshavin nakuhakikishia huyu mrusi wamemmaliza kiwango sio Left winger
 
Back
Top Bottom