Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Arsene should GO.........
Arsene should GO.........
Tupo home man.. itakuwa ngumu..
Michu kaniumiza.sana leo
Nasikia kulikuwa na.maandamano kabla ya match
Vipi Salama humu? nawasalimia tu hivi yule mchezaji anaitwa Michu au Macho? au yote mawili ni sawa? nauliza tu.
Mkuu, uliniona kama mnafiki au Kama taahira fulani. Je umeona kilichotokea?There are currently 12 users browsing this thread. (2 members and 10 guests)
- Balantanda,
- mshikachuma
Naona leo guests wengi kweli.......Wakuu njooni tu , msiogope
Mbona hakuna nilipokuita mnafiki mkuu wangu?.......Mkuu, uliniona kama mnafiki au Kama taahira fulani. Je umeona kilichotokea?
Mimi siyo mshabiki....mimi ni mpenzi na mnazi mkubwa sana wa Arsenal
Michu kaniumiza.sana leo