Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Hawa jamaa washakuwa wetu, mwaka huu kama mwaka jana tumewachota tu, kama ni mwali basi huyu ni wa kwetu kweli kweli!!!!!
Tuongee ukweli, arsenal hatuna DM,akina wilshere bado sana!Wakuu haya ni matokeo mazuri sana kwa kuzungatia kwamba majirani zetu nao wamepunguzwa kasi na Man U pia.
Sasa twawangoja Aston Villa na Everton ambazo ni mechi za ugenini.
Halafu mkuu mtoto wa mjini je unafahamu kwamba Antony Pilkington aliewafunga leo alikaa miezi 12 kwenye academy yenu wenyewe akijifunza mpira?
Man U wakifungwa hawa Arsenal haters hawasemi kitu lakini mpaka sasa timu hizi mbili zote zimepoteza mechi tatu kila mmoja.
Kwa kumnunua Santiago Cazorla tunamwamini Arsene Wenger, leo tena alikuwa mwiba na hata Arteta hakuwa na kazi sana ingawa alicheza akiwa bado ni majeruhi wa mishipa ya paja.
Jack Wilshere amethibitisha kwamba ni moto wa kuotea mbali.
Come on Arsenal!
Kina nani??? Na matokeo yalikua the same.....5-2... wale wetu tuu..hakuwepo kipindi iko..
sorry mkuu, ngoja nkaiedit. Ujue nilichanganya habari kwelikweli!!!! Me mwenyewe mshika bunduki toka damuni!!!! Ohh, nimeshindwa. Kumbe ile ya Le Mutuz ni closed topic!!!!Mkuu, kuna sehemu umemfananisha William Malecela na Arsenal! Tutake radhi!!
Kina nani??? Na matokeo yalikua the same.....5-2... wale wetu tuu..
:biggrin1: asante sana kwa sababu hata nyie pale carrow road mliwafungaga norwich goli 1-0 sio?
Mi hua nawaelezaga wenzangu huku kua sijali kufungwa game moja na kushinda zinazofuatia tano ndo mana tuko wa pili kwenye ligi..ni bora hiyo kuliko kufungwa mbili na kutoa draw mbili kama chelsea walivyofanya, hiyo ndio inauma zaidi..
week hii tuko champions league
arsenal chelsea man city mtakua mnaumana atakaefungwa wiki hii imekula kwao....sie aaaah wiki hii miguu juu na champagne tunaenda turkey na reserve team tufungwe tusifungwe sie miguu juuuuuuuuuu
Arsenal enjoying a "road-kill'' ..shocker/
:biggrin1: asante sana kwa sababu hata nyie pale carrow road mliwafungaga norwich goli 1-0 sio?
Mi hua nawaelezaga wenzangu huku kua sijali kufungwa game moja na kushinda zinazofuatia tano ndo mana tuko wa pili kwenye ligi..ni bora hiyo kuliko kufungwa mbili na kutoa draw mbili kama chelsea walivyofanya, hiyo ndio inauma zaidi..
week hii tuko champions league
arsenal chelsea man city mtakua mnaumana atakaefungwa wiki hii imekula kwao....sie aaaah wiki hii miguu juu na champagne tunaenda turkey na reserve team tufungwe tusifungwe sie miguu juuuuuuuuuu
haya wa wazee wa uefa..
nilichocheka jana ni kua jana ilikua ndio game ya kwanza norwich wame keep a clean sheet :happy: aibu.. kufungwa msijali sana...
:biggrin1: fans wa man city mjitayarishe kua mnaangalia mechi zenu za europe alhamisi....
nilikuwa naitafuta hiiii! hehehehehe!
ukiona mwenzio ananyolewa ,,,,\:becky::becky::madgrin::majani7:
Huyu jamaa ukimuita namba 9 unakuwa unakosea. Hana madhara kabisa, hana jicho la goli, ameshapata clear chances kibao plus penalty akafanya madudu. Huwezi kuniambia kwa nafasi ya ustriker you need to get familiar with the league ndio uanze kuscore. Ndio maana nathubutu kusema, bora Arshavin ambaye role yake kwa muda mrefu amekuwa akicheza kama midfielder awe anacheza kama central striker or acheze namba 10 na Podo au Walcot wacheze no 9!!
MwafrikaHalisi said:Sawa mkuu, baki na mtazamo wako. Naona huna uvumilivu, nimeona ukiponda wachezaji wetu wengi hapa kwahiyo sishangai.
Msimu uliopita hakuna mtu alitaka Arshavin asogee 1st 11, Wenger aliamini bado ana kitu cha ku'offer. Ndo maana umeona jana kapewa nafasi ndo unaanza kumsifu. Kwahiyo sina shaka itakuja siku ubadili mtazamo wako kuhusu Giroud. Wenger Knows Best.