Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kumbe Wacha Moko ni Bra??? Nilikua siijui hii...anyway akija atajibu...

Hebu muulize huyu 'Noisy neighbour' umeipata wapi hiyo? Akamsalimie Baloteli kwanza kabla ya kuja kwenye hili jukwaa ambalo linaonewa gele na wanoko wa JF ... ... ... ..


BTW ... ... prof anaendelea kutoa dozi zile zile kwenye derby hana hiyana ... ... .. ..... ... more to come oooops you know where .. .. ... ... pengine Mungiki Brother ataruhusu picha zangu kama Chelsick watashinda .. .... ... .... lakini naona jahazi lao limeingia maji meerkat ametoboa tundu kule nyuma ... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
:biggrin1: arsenal fans mnanichekesha sana..sasa mnafurahia kuwafunga wachezaji kumi uwanjani bao tano? yaani arsenal imeshajishusha kiasi hicho...hayo magoli mmeyafunga baada ya adebayor kutolewa kabla ya hapo mlikua 1-0 down...ade angekua uwanjani msingeshinda hilo game na nyie wenyewe mnajua
 
Hebu muulize huyu 'Noisy neighbour' umeipata wapi hiyo? Akamsalimie Baloteli kwanza kabla ya kuja kwenye hili jukwaa ambalo linaonewa gele na wanoko wa JF ... ... ... ..


BTW ... ... prof anaendelea kutoa dozi zile zile kwenye derby hana hiyana ... ... .. ..... ... more to come oooops you know where .. .. ... ... pengine Mungiki Brotherataruhusu picha zangu kama Chelsick watashinda .. .... ... .... lakini naona jahazi lao limeingia maji meerkatametoboa tundu kule nyuma ... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee

asalaam alyekum mkuu Wacha1
 
Last edited by a moderator:
:biggrin1: arsenal fans mnanichekesha sana..sasa mnafurahia kuwafunga wachezaji kumi uwanjani bao tano? yaani arsenal imeshajishusha kiasi hicho...hayo magoli mmeyafunga baada ya adebayor kutolewa kabla ya hapo mlikua 1-0 down...ade angekua uwanjani msingeshinda hilo game na nyie wenyewe mnajua

Kwani last season ilikuaje??? Chezea eeeh!!!!
 
:biggrin1: arsenal fans mnanichekesha sana..sasa mnafurahia kuwafunga wachezaji kumi uwanjani bao tano? yaani arsenal imeshajishusha kiasi hicho...hayo magoli mmeyafunga baada ya adebayor kutolewa kabla ya hapo mlikua 1-0 down...ade angekua uwanjani msingeshinda hilo game na nyie wenyewe mnajua

adebayor ni mzembe na hapo lazima afikiriwe kukimbizwa pamoja na avb wake..
 
:biggrin1: arsenal fans mnanichekesha sana..sasa mnafurahia kuwafunga wachezaji kumi uwanjani bao tano? yaani arsenal imeshajishusha kiasi hicho...hayo magoli mmeyafunga baada ya adebayor kutolewa kabla ya hapo mlikua 1-0 down...ade angekua uwanjani msingeshinda hilo game na nyie wenyewe mnajua


Usiwe na shaka chichi ni wazee wa kubebwa kama Manure .... .... any more questions? khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 
:biggrin1: arsenal fans mnanichekesha sana..sasa mnafurahia kuwafunga wachezaji kumi uwanjani bao tano? yaani arsenal imeshajishusha kiasi hicho...hayo magoli mmeyafunga baada ya adebayor kutolewa kabla ya hapo mlikua 1-0 down...ade angekua uwanjani msingeshinda hilo game na nyie wenyewe mnajua
Haya bana,mjanja wewe uliyempiga chelsea akiwa pungufu kwa wachezaji wawili.
 
:biggrin1: arsenal fans mnanichekesha sana..sasa mnafurahia kuwafunga wachezaji kumi uwanjani bao tano? yaani arsenal imeshajishusha kiasi hicho...hayo magoli mmeyafunga baada ya adebayor kutolewa kabla ya hapo mlikua 1-0 down...ade angekua uwanjani msingeshinda hilo game na nyie wenyewe mnajua
Mbona ninyi mliwashinda Chelsea wakiwa 9 uwanjani maneno ikawa mingiiiii......
 
Haya bana,mjanja wewe uliyempiga chelsea akiwa pungufu kwa wachezaji wawili.

umesahau kipindi cha kwanza tulikua tunaongoza magoli mawili dhidi ya chelsea na walikua wote 11 uwanjani...nyie wakati mko wote 11 uwanjani nani alikua anaongoza kwa goli :happy:
 
umesahau kipindi cha kwanza tulikua tunaongoza magoli mawili dhidi ya chelsea na walikua wote 11 uwanjani...nyie wakati mko wote 11 uwanjani nani alikua anaongoza kwa goli :happy:

Manure walikuwa wanaongoza! Mpira si unachezwa dakika 10 tu siku hizi kwa sheria za Mtotowamjini wa JF khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
Mbona ninyi mliwashinda Chelsea wakiwa 9 uwanjani maneno ikawa mingiiiii......

nimeshajibu hili swala....ila siwalaumu nyie kufurahia hivi maana mngefungwa mngekuta saivi mko wa 12 kwenye ligi so angalau kidogo kale ka song kanakosema 'we want our arsenal back' hatukukasikia leo :happy:
 
nimeshajibu hili swala....ila siwalaumu nyie kufurahia hivi maana mngefungwa mngekuta saivi mko wa 12 kwenye ligi so angalau kidogo kale ka song kanakosema 'we want our arsenal back' hatukukasikia leo :happy:

Kumbe unawapenda Arsenal naona unawafuatilia kwa ukaribu, kweli Gunners tunatisha khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

niwaulize results zipi ni tamu zaidi 5-2 au 1-0/2-1?

Tupe matokeo yenu basi au na wewe umezila kama Chelsick? khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee unaleta majungu hapa! Ebo!
 
Back
Top Bottom