Gang Chomba
Platinum Member
- Feb 29, 2008
- 20,734
- 4,869
Hapana......Hapa ni mahaba tu dhidi ya Rosoneri ndo yanakusukuma useme hivyo....
Nini ubora wa la Mexes?, kwa sababu ni la tik tak?....Kama goli la tik tak la Mexes ni bora Europe, vipi hili goli la Ibrahimovic alilofunga siku ya mechi ya Sweden na England?
Mkuu Balantanda heshima mbele...
Ishu ni kuwa goli la Mexes linabaki kuwa bora zaidi ya goli la Ibra kwa sababu goli la Ibra kipa hakuwepo golini...
Lakini goli la Mexes kipa alikuwepo golini lakini mpira ulipopelekwa hata wangekuwa makipa watatu wasingefika.
forza Milan
Last edited by a moderator: