Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,293
Wakuu hili jukwaa leo mbona kama halina wenyewe?
hongera zenu wandugu..
Hii thread ya Arsenal Mkuu umepotea au?Andereicht 1-3 Milan...
*El shaarawy
*Mexes
*pato.
Milan are through... NB
Goli alilofunga beki wa Milan Philip Mexes kama
angelifunga Messi basi tungeambiwa Champions
League imekwisha na Barca ni mabingwa so
tusubiri michuano ya nxt season... Forza Milan.
wewe ndie Honey wangu ambaye watu
wananieleza mabaya yako weeeh lakini naishia
kuwajibu ''yatawashinda''.
Mimi na wewe mpaka ntakapotangulia
kusikojulikana. Nakupenda sana Darling, amini hilo.
Hongereni wakuu kwa ushindi huu wa leo, bila shaka tunaweza kuongoza group baada ya mechi za mwisho. Hata hivyo cha muhimu ni qualification!!!
Ni kweli! Namaanisha mechi ya mwisho kama tukishinda na Schalke akadraw au akafungwa bado tunaweza kuongoza group...group wanaongoza schalke 04 manake jana walishinda 1-0.
Ni kweli! Namaanisha mechi ya mwisho kama tukishinda na Schalke akadraw au akafungwa bado tunaweza kuongoza group...
hongera zenu wandugu..
Bao la pod zuri sana
Kama hukuangalia mechi yetu jana basi tafuta hata highlights uone goli la Podolski. Bonge la goli..
Hapana......Hapa ni mahaba tu dhidi ya Rosoneri ndo yanakusukuma useme hivyo....Goli la Philip Mexes wa AC Milan ndio goli booora katika msimu huu wa Ligi barani ulaya...
Bishana kokote, ukiona unaelekea kushindwa nistue