Mkuu rombo
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,556
- 422
2mewapa 2 hamna kitu
hongera bana majirani! mmefanikiwa ku expose all our weakness kama kawaida yenu .. fair play manure ni best team kwa leo
tunawasubiri emarates.... :becky:
mtoto wa mjini atakuja na copy paste yake hapa kutumuumiza
kwenye kusifia unasifia i like that bora wewe umekua mkweli kuliko mwenzako hapo anaanza kumlalamikia refa...mnanishangaza sana...wenger angemtoa wilshire kama fergie alivomtoa cleverley na mnabahati kipa wenu amewasave leo maana rvp, valencia wamekosa magoli mengi tu, rooney amekosa penalty nyie mna bahati leo...another game gone...champions league next!!
Leo nakuunga mkono pal!:biggrin1: nyie wala hamnisumbui kichwa niliwaambia toka last week kua tutakua tunapitia kwa SANTOS sijui kwanini mnamchezesha yule jamaa he's the worst brazillian player i have ever seen...na hamu tungekua tunacheza na nyie every week :happy:
arsenal fans wameimba leo 'we want our arsenal back' sijui walikua wanawaimbia board yenu au arsene wenger
Yeah.....Namlalamikia refa na pia nawasifu Man Utd kwa mchezo mzuri licha ya Refa kuonesha mahaba....kwenye kusifia unasifia i like that bora wewe umekua mkweli kuliko mwenzako hapo anaanza kumlalamikia refa...mnanishangaza sana...wenger angemtoa wilshire kama fergie alivomtoa cleverley na mnabahati kipa wenu amewasave leo maana rvp, valencia wamekosa magoli mengi tu, rooney amekosa penalty nyie mna bahati leo...another game gone...champions league next!!
Pamoja na kwamba timu yetu ni DHAIFU sana leo.......Bado namlaumu sana Refa....Yupo bias....
Hakukuwa na umuhimu wa kumpa Red Jack........Mbona RVP ana yellow na kuna muda ilikuwa offside refa kapiga filimbi yeye kabutua mpira kuelekea wavuni......Hii ilikuwa ni 2nd yellow =red card....
Hata penati ya Carzola haikuwa sahihi kwa mtazamo wangu mimi Bala.......Hivi haujaona kumtoa Jack ndio kumeidhoofisha timu ambayo ilikuwa ikirudi kwenye fomu baada ya Walcott kuingia?....
Halafu, kwa nini mechi za karibuni za Man Utd lazima wapewe penati na mchezaji wa timu pinzani apewe red card ambayo ni unnecessary.....
Btw .......Hongera sana kwa pointi 3
Giroud anakosa goli la wazi
haha! haya bana shujaa wewe leo
mkuu kashengo mi bado nalia na defence yetu! sometimes inacheza fresh sometimes ina bore sanaa! tukimuweka kozer hakawii kujifunga....
pia mbele pale tumekosa poacher mzuri wa mabao....!
hivi kwanini wenger hamfikirii Ba wa newcastle .. 7M tu!
haha! haya bana shujaa wewe leo
mkuu kashengo mi bado nalia na defence yetu! sometimes inacheza fresh sometimes ina bore sanaa! tukimuweka kozer hakawii kujifunga....
pia mbele pale tumekosa poacher mzuri wa mabao....!
hivi kwanini wenger hamfikirii Ba wa newcastle .. 7M tu!