Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Balantanda ,still unamlaumu refa? kwa hiki kiwango chenu karibuni kinatia kinyaa ukweli
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini Mr, Bean hakumtoa Wilshere mapema,mwenzie Fegi kawahi kumtoa Cleverley

Yeye yupo yupo tu akili yake hua haifanyi kazi.

Si unaona hapo anatizama game kama sisi tu hajui kama ana uwezo wa kufanya mabadiliko kujaribu tu chochote kitokee

Lakini anaonesha kwamba kafikia mwisho wake wa kufikiria
 
Hatuwezi kumaliza trophyless msimu huu mkuu, kuna kombe jipya la Wenger la ku-qualify champions league
Ukweli ndio huo.........Japo unauma....

This is the same old Arsenal.......Hakuna jipya.....

Mbinu ni zilezile, aina ya wachezaji ni walewale na Arsene Wenger ni yuleyule anayewang'ang'ania wachezaji wa aina ya Ramsey na Santos(ambaye anakimbilia na kuomba jezi ya mpinzani wake RVP Half Time, yeye anawaza jezi tu,no wonder kawa uchochoro leo) hata kama wanachemsha.....

Dakika ya 80 hiyo

Man Utd 2-0 Arsenal

Tuombe Mungu tumalize hivihivi bila kuongezwa magoli mengine ikawa fedheha
 
Viper, Balantanda Questt Katavi MwafrikaHalisi Jaguar Wacha1

Jamani wenzangu hapa tulipo tuna timu nzuri Ila kwa mtizamo wangu HATUNA kocha "MKALI" ni tofauti ya AW na Fergie iko hapo na Tukubali tukatae kocha wetu modern game tactics zimemshinda kuzi adopt

Yani mi naona anajali sana Posession kuliko ushindi inanikhera sana hii tabia yake hata mkiniona msaliti ARSENE anauwa timu
 
Last edited by a moderator:
These stats do not make any sense!

[h=2]Shots (on goal)[/h]
[h=2]tackles[/h]
[h=2]Fouls[/h]
[h=2]possession[/h]

  • [h=2]Manchester United[/h]

  • 12(6)


  • 19


  • 15



  • 48%
    52%

  • [h=2]Arsenal[/h]

  • 3(0)


  • 9


  • 14
 
Ukweli ndio huo.........Japo unauma....

This is the same old Arsenal.......Hakuna jipya.....

Mbinu ni zilezile, aina ya wachezaji ni walewale na Arsene Wenger ni yuleyule anayewang'ang'ania wachezaji wa aina ya Ramsey na Santos(ambaye anakimbilia na kuomba jezi ya mpinzani wake RVP Half Time, yeye anawaza jezi tu,no wonder kawa uchochoro leo) hata kama wanachemsha.....

Dakika ya 80 hiyo

Man Utd 2-0 Arsenal

Tuombe Mungu tumalize hivihivi bila kuongezwa magoli mengine ikawa fedheha

Kweli kabisa mkuu. Jamaa miaka nenda rudi hana plan B, game yetu ikikataa basi tumekwisha

wachezaji wake laini laini tu ndio anasajili.

Huyu Giroud hana haja ya uanza kabisa
 
hongera bana majirani! mmefanikiwa ku expose all our weakness kama kawaida yenu .. fair play manure ni best team kwa leo
 
Balantanda ,still unamlaumu refa? kwa hiki kiwango chenu karibuni kinatia kinyaa ukweli
Pamoja na kwamba timu yetu ni DHAIFU sana leo.......Bado namlaumu sana Refa....Yupo bias....

Hakukuwa na umuhimu wa kumpa Red Jack........Mbona RVP ana yellow na kuna muda ilikuwa offside refa kapiga filimbi yeye kabutua mpira kuelekea wavuni......Hii ilikuwa ni 2nd yellow =red card....

Hata penati ya Carzola haikuwa sahihi kwa mtazamo wangu mimi Bala.......Hivi haujaona kumtoa Jack ndio kumeidhoofisha timu ambayo ilikuwa ikirudi kwenye fomu baada ya Walcott kuingia?....

Halafu, kwa nini mechi za karibuni za Man Utd lazima wapewe penati na mchezaji wa timu pinzani apewe red card ambayo ni unnecessary.....

Btw .......Hongera sana kwa pointi 3

Giroud anakosa goli la wazi
 
Arsenal wazito... Man utd outclassed Arsenal hands down. 1 shot on target..
 
Viper, Balantanda Questt Katavi MwafrikaHalisi Jaguar Wacha1

Jamani wenzangu hapa tulipo tuna timu nzuri Ila kwa mtizamo wangu HATUNA kocha "MKALI" ni tofauti ya AW na Fergie iko hapo na Tukubali tukatae kocha wetu modern game tactics zimemshinda kuzi adopt

Yani mi naona anajali sana Posession kuliko ushindi inanikhera sana hii tabia yake hata mkiniona msaliti ARSENE anauwa timu
Babu Wenger kwa kweli kaishiwa mbinu.
 
Last edited by a moderator:
Hii itakua aibu tukimaliza mpira bila short on target

ukirudi misimu 2,3 nyuma arsenal ilikuwa inafungwa na shoot hata zaidi ya 30 na on target kibao lakini hii arsenal ya leo mmh! hata kumi hazifiki si on target au kinyume chake
 
Back
Top Bottom