Nyaluhusa87
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 1,303
- 262
ft west 1-3 arsenal.point 3 kibindoni
Hongereni sana wachumba zetu...nice game nice play nice goals.
Point of correction mr. Viper: ...except Chelsea, the champions of Europe.
In other news, midfield ya Westham mbovu kupindukia...
Ball possession:
Westham 39% - 61% Arsenal.
If only those were goals!!!
congrats wakuu, sikucheki full match ila sikumkosa Gary Lineker kwenye match of the day!! mnatisha gunners!!
congrats wakuu, sikucheki full match ila sikumkosa Gary Lineker kwenye match of the day!! mnatisha gunners!!
congrats vijana mnatia moyo...
jirani yaani mi nakupendea hapo tu! ..
We acha tu BelindaJacob sasa hivi team imepata confidence ya hali ya juu hata mechi za Chelsea na MANC tungeweza kushinda. Inatia moyo sana ila tuombe Mungu tusiwe na majeruhi ya kutisha na ya muda mrefu tukiweza kuepuka hilo....then anything is possible. Wakuu msisahau leo baada ya mchapo wa MANU na Newcastle kuna mchapo mwingine wa nguvu kati ya Real Madrid na Barcelona ambao utaanza 8.50pm EAT.