Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu Balantanda, BAK na Viper tatizo kubwa la arsenal wanakimbilia kushinda possession af magoli hakuna....
Wanasahau watu wanataka magoli hiyo possession kubwa ni matokeo tu...
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
TV5 - Defender mzuri

Boss kozer - defender mzuri

TV5 + Boss kozer NOT SO GREAT sikuhizi .. what happened kwenye hii combination?

Hao jamaa wote wapo poa... Ila ile Combination inachomoa kwa sababu ya mfumo... Kwa sasa beki zetu za pembeni zinapanda sana.... Verm na KOS wote nao ni watu wa Kupanda flani hivi.... Ila PER kupanda ni almost hakuna zaidi ya kwenye Corner...

Still Per anaongeza solidness kwenye aerial balls... So hata mi napenda hii Comb ya PER na Verm.......
 
Wakuu Balantanda, BAK na Viper tatizo kubwa la arsenal wanakimbilia kushinda possession af magoli hakuna....
Wanasahau watu wanataka magoli hiyo possession kubwa ni matokeo tu...

Aina yetu ya uchezaji ndo ina lead into possession kaka...Hata magoli tunayofunga mengi ni ya one two.... So BURUDIKA na soka.
 
Mkuu Mentor usisahau kwamba haiwezekani kupanga mashambulizi bila kuwa na possession....Duh!!


Wakuu Balantanda, BAK na Viper tatizo kubwa la arsenal wanakimbilia kushinda possession af magoli hakuna....
Wanasahau watu wanataka magoli hiyo possession kubwa ni matokeo tu...
 
Last edited by a moderator:
Ramsey wa hovyo kweli......Hawezi kucheza kwenye kiuongo cha ukabaji.....

Ni bora Coquelin angeanza......Alicheza vizuri sana mechi na Olympiacos

Dakika ya 22

West Ham 1-0 Arsenal
 
Seriously?????? I never saw that Coming.......Bado ukuta unavuja.... Huu ni uNGE!!!!!!! haya 1-0.... wanapaki basi ngomba isambe....
 
I said it...well lets hope we will see a comeback from ur impressive possessions!
 
dah! niko bushi kishenz hata BBC ile ya akina charlz Hilary cjui kama wanatangaza nipate matokea... mlioko kwenye runinga pls updates me
 
Ball possession:
Westham 39% - 61% Arsenal.
If only those were goals!!!
 
Seriously?????? I never saw that Coming.......Bado ukuta unavuja.... Huu ni uNGE!!!!!!! haya 1-0.... wanapaki basi ngomba isambe....
Hiki kikosi cha leo nikizur. Naamini watarudi tu!
 
Back
Top Bottom