MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 188
Carzolaaaaaaaaaaaaaaa!!!
Wakulu Santiago Carzola amethibitisha kwamba ni moto wa kuotea mbali. Theo Walcott alimpa pande na Carzola akapiga shuti kali likaingia upande wa kulia wa kipa wa West Ham.
What a goal!
7 points behind Chelsea.