Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hongereni Arsenal, nikalale mie kutukana humu hakufai kama kuna mafuta na kibiriti basi nikumuwasha Downing moto, na SG aanze Bench madudu tu.
 
NBA ianze tu nitizame Lakers grrrrrrrrr bora niwe na TV tumbo na Chogo hizi Plasma zitanipa hasara kuzivunja.
 
Huyu kipa wa Liverpool sijui huwa anakuwa na matatizo gani?
 
This is Walcott time.... Liver wanapanda sana.... Walcott angekuja na mabio yake kuexploit hizi chances!!!!
 
Hongereni Arsenal, nikalale mie kutukana humu hakufai kama kuna mafuta na kibiriti basi nikumuwasha Downing moto, na SG aanze Bench madudu tu.
Pole sana mdau ndio soka hilo.
 
Mkuu, haya ni maneno ya kunifariji tu ili nisikate roho....lakini ukweli ni kwamba leo hatutoki pale

Sasa umeamini maneno yangu eh? Niliwaambia mkicheza game lenu mnawafunga coz kop now wana suarez tu mkimkaba yule hakuna kitu tena.. Most teams zitaangalia hii game watajifunza mengi watajua jinsi ya kuwatungua liverpool..
 
Back
Top Bottom