Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

sasa mkuu siasa za nini..? tofauti zenu za kisiasa peleka jukwaa la siasa.. acha tu enjoy soccer
Sawa wakuu, nimewaelewa....naombeni mnisamehe bure. Back to the topic
Hivi kwa mtazamo wenu ni kweli tunaweza kutoka kifua mbele from Anfield?
 
sasa mkuu siasa za nini..? tofauti zenu za kisiasa peleka jukwaa la siasa.. acha tu enjoy soccer
Bora umemwambia. Amevamia jukwaa halafu bado analeta habari zisizohitajika hapa.
 
Back
Top Bottom