Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Vermaellen anatoka, anaingia jembe Koscielny
Wale majeruhi wanaweza kukalia benchi moja kwa moja...What a miss by Suarez
Vito Manonne katulia sana golini wakuu
Captain Verminator......
Pointi tatu muhimu hizo kibindoni...Dakika ya 90
Liverpool 0-2 Arsenal
Dakika 4 za nyongeza
Baadaye msianze tu kumtukana. Li washa wane sasahivi litatoka porini na mi picha. hongereni1st win, third successive clean sheet! Thanx Wenger! In u we trust
Pilipili ya shamba............Baadaye msianze tu kumtukana. Li washa wane sasahivi litatoka porini na mi picha. hongereni
Carzorla unamjua wewe??.......Leo naona hatutolala Wacha1 akija na Picha zake za Thesun dah! tehtehteh Balatanda leo naona atairudia Game mara 100. mie leo Channel za Sports wala magazeti sitaki kuyaona.
Liver wanafanya sub...
Anatoka Sahin, anaingia Jonjo
Hivi wakuu, Carzorla anatumia mguu gani?.......Maana anatumia mguu wa kushoto kama anavyotumia mguu wa kulia....
Ananikumbusha enzi za mtaalamu Pavel Nedved......