Argentina, Taifa pendwa la Elon Musk na Trump America Kusini lazidi kuzama kwenye mdororo wa uchumi, Trump apanga kulipa billion 20$

Argentina, Taifa pendwa la Elon Musk na Trump America Kusini lazidi kuzama kwenye mdororo wa uchumi, Trump apanga kulipa billion 20$

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,243
Reaction score
90,302
Uchumi wa Argentina umezidi kufanya vibaya chini ya utawala wa Rais Javier na kuwa katika hatihati ya kuanguka kutokana na utawala mbovu wa Rais huyo hali inayopelekea Marekani kuandaa kitita cha dola billion 20 kuukomboa.

Javier ni swahiba mkubwa wa Trump na mtindo wao wa uongozi na siasa unakaribiana sana. Elon Musk pia ni rafiki mkubwa na anauhusudu utawala wa Javier na alikopi sehemu kubwa ya za DOGE kutoka kwake.
20250927_073326.jpg
20250927_073446.jpg
 
Ubepari umeshindwa Argentina ?

Huyu jamaa aliingia kwa mbwembwe sana na ubepari wake oya oya mabepari walimsifia sana kwamba ni mkombozi wa Argentina dhidi ya sera za kisoshalist za Rais aliyepita na kwamba ubepari wake unaenda kuiinua Argentina katika ramani huko Argentina kusini BRICS walikuwa katika hatua za kujiunga akajichomoa leo anapumulia mashine na ubepari wake oya oya.

Hata wewe uliwahi kumsifia humu humu huyu bepari mwenzako kazi ipo.

Leo kawa chawa wa Trump na Elon.

Ha ha ha ha Milei mchepuko wa Melon
 
Ubepari umeshindwa Argentina ?

Huyu jamaa aliingia kwa mbwembwe sana na ubepari wake oya oya mabepari walimsifia sana kwamba ni mkombozi wa Argentina dhidi ya sera za kisoshalist za Rais aliyepita na kwamba ubepari wake unaenda kuiinua Argentina katika ramani huko Argentina kusini BRICS walikuwa katika hatua za kujiunga akajichomoa leo anapumulia mashine na ubepari wake oya oya.

Hata wewe uliwahi kumsifia humu humu huyu bepari mwenzako kazi ipo.

Leo kawa chawa wa Trump na Elon.

Ha ha ha ha Milei mchepuko wa Melon
chama cha musk kimefikia wapi mpaka sasa
 
Hao wote ni White Supremacist hivyo wanafanana, white Supremacist yoyote Yule lazima ziive na Trump.
Kingine Arjentina ndio kuna wayahudi wengi kuliko nchi yoyote Latin America

Hata vizazi vya kizungu kama wale wa Ireland wako wengi mno…. Hapo connect dots tu
 
Ubepari umeshindwa Argentina ?

Huyu jamaa aliingia kwa mbwembwe sana na ubepari wake oya oya mabepari walimsifia sana kwamba ni mkombozi wa Argentina dhidi ya sera za kisoshalist za Rais aliyepita na kwamba ubepari wake unaenda kuiinua Argentina katika ramani huko Argentina kusini BRICS walikuwa katika hatua za kujiunga akajichomoa leo anapumulia mashine na ubepari wake oya oya.

Hata wewe uliwahi kumsifia humu humu huyu bepari mwenzako kazi ipo.

Leo kawa chawa wa Trump na Elon.

Ha ha ha ha Milei mchepuko wa Melon
Sera za kisoshalisti zimeshindwa kwa miaka mingi sana Argentina. Mara nyingi imekuwa bailed out. Milei alikuja na sera za nchi na watu kuishi kulingana na uwezo. Na kubana matumizi.
Ila ukwamishaji mwingi. Ndiyo anatafuta pesa za kuwaridhisha waliozoea kuishi kupita uwezo.
 
Kingine Arjentina ndio kuna wayahudi wengi kuliko nchi yoyote Latin America

Hata vizazi vya kizungu kama wale wa Ireland wako wengi mno…. Hapo connect dots tu
Yeah umeongea kisomi sana
 
Kingine Arjentina ndio kuna wayahudi wengi kuliko nchi yoyote Latin America

Hata vizazi vya kizungu kama wale wa Ireland wako wengi mno…. Hapo connect dots tu
Hata Jamii ya watu weusi ni sawa sawa na haipo, radical whites wote ndo type ya trump, white supremacy ndio Jambo analojaribu kulirudisha Kwa kivuli cha MAGA, halafu sasa AIPAC ndo wanacheza na fursa kupitia Trump na masenator wote wa US, vitu huenda Kwa chain.
 
Back
Top Bottom