argentina

Argentina (Spanish: [aɾxenˈtina]), officially the Argentine Republic (Spanish: República Argentina), is a country located mostly in the southern half of South America. Sharing the bulk of the Southern Cone with Chile to the west, the country is also bordered by Bolivia and Paraguay to the north, Brazil to the northeast, Uruguay and the South Atlantic Ocean to the east, and the Drake Passage to the south. With a mainland area of 2,780,400 km2 (1,073,500 sq mi), Argentina is the eighth-largest country in the world, the fourth largest in the Americas, the second largest in South America after Brazil, and the largest Spanish-speaking nation. The sovereign state is subdivided into twenty-three provinces (Spanish: provincias, singular provincia) and one autonomous city (ciudad autónoma), Buenos Aires, which is the federal capital of the nation (Spanish: Capital Federal) as decided by Congress. The provinces and the capital have their own constitutions, but exist under a federal system. Argentina claims sovereignty over part of Antarctica, the Falkland Islands (Spanish: Islas Malvinas), and South Georgia and the South Sandwich Islands.
The earliest recorded human presence in modern-day Argentina dates back to the Paleolithic period. The Inca Empire expanded to the northwest of the country in Pre-Columbian times. The country has its roots in Spanish colonization of the region during the 16th century. Argentina rose as the successor state of the Viceroyalty of the Río de la Plata, a Spanish overseas viceroyalty founded in 1776. The declaration and fight for independence (1810–1818) was followed by an extended civil war that lasted until 1861, culminating in the country's reorganization as a federation of provinces with Buenos Aires as its capital city. The country thereafter enjoyed relative peace and stability, with several waves of European immigration, mainly Italians and Spaniards, radically reshaping its cultural and demographic outlook; 62.5% of the population has full or partial Italian ancestry, and the Argentine culture has significant connections to the Italian culture.The almost-unparalleled increase in prosperity led to Argentina becoming the seventh wealthiest nation in the world by the early 20th century. According to the Maddison Historical Statistics Project, Argentina had the world's highest real GDP per capita in 1895 and 1896, and was consistently in the top ten before at least 1920. Currently they are ranked 61st in the world. Following the Great Depression in the 1930s, Argentina descended into political instability and economic decline that pushed it back into underdevelopment, though it remained among the fifteen richest countries for several decades. Following the death of President Juan Perón in 1974, his widow, Isabel Martínez de Perón, ascended to the presidency. She was overthrown in 1976 by a U.S.-backed coup which installed a right-wing military dictatorship. The military government persecuted and murdered numerous political critics, activists, and leftists in the Dirty War, a period of state terrorism that lasted until the election of Raúl Alfonsín as President in 1983. Several of the junta's leaders were later convicted of their crimes and sentenced to imprisonment.
Argentina is a developing country and ranks 48th on the Human Development Index, the second highest in Latin America after Chile. It is a regional power in Latin America and retains its historic status as a middle power in international affairs. Argentina maintains the second largest economy in South America, the third-largest in Latin America, and is a member of G-15 and G-20. It is also a founding member of the United Nations, World Bank, World Trade Organization, Mercosur, Community of Latin American and Caribbean States and the Organization of Ibero-American States.

View More On Wikipedia.org
  1. MK254

    Argentina yatoa amri ya kukamatwa kwa Waziri wa Iran aliyelipua bomu nchini humo

    Hilo bomu alilipua mwaka wa 1994 kule Argentina...... --- The Argentinian Foreign Affairs Ministry made an official request to arrest Iranian Interior Minister and former Quds Force commander Ahmad Vahidi for his role in the 1994 AMIA bombing, the ministry announced Wednesday morning. The AMIA...
  2. Kingsmann

    Mechi ya Brazil vs Argentina inakaribia kutochezwa baada ya mashabiki wa Brazil kuanzisha vurugu

    Baada tu wachezaji kuingia uwanjani mashabiki wa Brazil walianza kuwarushia vitu mashabiki wa Argentina, ndipo vurumai kubwa lilipotokea. Wachezaji wa Argentina wakiongozwa na nahodha wao Lionel Mesi wamerudi vyumba vya kubadilishia jezi na hawajatoka mpaka sasa.
  3. Kingsmann

    Javier Milei "The Madman" ashinda Urais wa Argentina

    Kutana na mwamba wa kuitwa 'The Madman' ambaye ameshinda uchaguzi wa urais wa Argentina. Huyu mwamba ni mfuasi wa mrengo mkali wa kulia ambaye anamu-inspire sana "Madman" mwenzake Donald Trump. Ni mfuasi mkubwa wa Israel na ameahidi mageuzi makubwa sana nchini Argentina, sasa wamemkabidhi...
  4. S

    Nani atakuwa mbabe katika derby ya Argentina Jumanne ijayo?

    Argentina akicheza katika uwanja wake wa Estadio La Bombonera jijini Buenos Aires amekubali kipigo cha goli 2 bila majibu kutoka kwa mtani wake wa jadi Uruguay katika Derby ya kusisimua. Argentina na golikipa wake Emiliano Martinez walikuwa hawajaruhusu goli lolote katika mechi nane walizocheza...
  5. GENTAMYCINE

    Brazil Kwao Olivieira wanaujua Mpira ila Argentina Kwao Gamondi wanauelewa na wanaucheza hasa Mpira

    Mpira wa Kibrazili unakupa Matokeo japo kwa kila mara Kumuomba Mungu, ila baada ya Mechi unalazimika kutafuta Panadol Extra na Dawa za Kushusha Presha ili Unywe. Mpira wa Argentina tangu unaanza tu unakupa Raha Kuutizama, husikii Njaa, huhisi Pepo wa Ukichaa Kukupanda, Maji na Juice vinashuka...
  6. M

    Saudi Arabia, UAE, Iran, Egypt, Ethiopia na Argentina zakubaliwa kujiunga BRICS

    Sasa BRICS itakuwa na wanachama 11 wenye sifa zifuatazo ● BRICS itakuwa na mataifa 6 kati ya 9 ambayo ni wazalishaji wakubwa wa mafuta na gesi duniani. ● BRICS itakuwa na mataifa ambayo yana 80% ya oil reserve duniani. ● BRICS itakuwa na mataifa yenye jumla ya GDP $30.76 trillion. Asilimia...
  7. Chachu Ombara

    KWELI Argentina iliua na kuondoa kizazi cha watu weusi ili kulinda kizazi cha watu weupe

    Baada ya Afrika, bara la Amerika Kusini ndilo lenye watu weusi wengi zaidi wakikadiriwa kuwa zaidi ya milioni 170 huku Brazil ikiongoza ikiwa na watu weusi takriban milioni 120. Nchi ya Argentina inatajwa kuwa mpaka sasa watu weusi ni chini ya laki mbili wakiwa takriban asilimia 0.5% kutoka...
  8. MtanzaniaMakini

    Plot4Sale Eneo linauzwa Manzese Argentina

    Habari ndugu kuna Eneo linauzwa Manzese Argentina. Eneo linatazamana na barabara kuu ya Morogoro road jirani kabisa na kituo cha Mwendokasi cha Argentina Eneo linafaa ujenzi wa hotel, shell au kuweka kitega uchumi chochote Bei 400ml maongezi yapo kwa maelezo zaidi What's up number +255628891673...
  9. Wadiz

    Tanga yaanzisha battle na Simba makocha Brazil vs Argentina

    Hello, Yanga SC halali yao kuitwa utopolo na yeboyebo, mdebwedo, hii ligi ya makocha hamtaiweza Simba SC member mwanzilishi wa African Super League.(ASL). Yanga SC wamesajili kocha kituko, Hongera yanga Kwa usajili wa Angelina
  10. I

    Argentina yafikiria kutumia dola ya Marekani kama sarafu yake

    Wakati mataifa mengine yanafikiria kuachana na dola ya Marekani katika biashara ya kimataifa kuna mataifa mengine yanafikiria kutumia sarafu hiyo adhimu kama sarafu ya nchi. ----- While some emerging economies have demonstrated an eagerness to untangle themselves from the dollar's dominance...
  11. sky soldier

    Haya ndio maisha ya Marehemu Diego Maradona aliewahi kuwa mwanasoka Nguli kutoka Argentina,

    Ni moja kati ya wanasoka nguli waliowahi kutikisa ulimwengu wa soka zama zake, Fatilia mkasa wake.. Part 1:: Diego alizaliwa sehemu masikini alishindwa kuweza hata kumudu nauli ya kwenda kufanya majaribio ya kujiunga na academy, Rafiki yake anampigia connection ili apate nauli: WHILE THIS...
  12. Webabu

    Argentina yaanza mchakato kuvidai tena visiwa vya Falklands kutoka Uiengereza

    Waziri wa mambo ya nje wa Argentina Santiago Cafiero amesema tayari ameshamjulisha mwenzake wa Uiengereza James Cleverly nia ya nchi yake kujitoa kwenye mkataba wa mashirikiano uliosainiwa mwaka 2016. Wakati wa utawala wa Margret Thatcher nchi hizo mbili ziliwahi kupigana mwaka 1982 kuhusiana...
  13. Lady Whistledown

    Je, una utaratibu wa kupongeza rafiki zako? Messi amewazawadia timu ya Argentina iphone 14 za dhahabu kila mmoja kwa kutwaa World Cup 2022

    Messi amenunua simu 35 aina ya iPhone14 za dhahabu na kuwazawadia kikosi cha Timu yake ya Taifa ya Argentina kwa kutwaa Ubingwa wa FIFAWorldCup2022 Inaelezwa kuwa Nyota huyo wa PSG ametumia takriban Tsh. Milioni 409.5 kununua simu hizo, huku 1 ikikadiriwa kugharimu zaidi ya Tsh. Milioni 14...
  14. Fohadi

    Tuambie Mechi yako Bora zaidi ya soka ambayo umewahi kuishuhudia

    Nimekuwa shabiki wa soka kwa muda mrefu sana. Kwa muda wa miaka 20 sasa. Nimeangalia mechi nyingi sana na za kutosha, zaidi ya 1000 hadi leo hii. Toka enzi za goli la dhahabu hadi leo hii ambapo goli la ugenini limefutwa kwenye mashindano ya Ulaya na technolojia ya VAR inatumika. Nimeangalia...
  15. Raphael Thedomiri

    FIFA kufungua mashitaka ya kinidhamu kwa timu ya Argentina

    Shirikisho la soka ulimwenguni, FIFA limetangaza kufungua kesi za kinidhamu dhidi ya timu ya Argentina kutokana na kile ilichokitaja kama tabia zisizo za kiungwana ilizoonyesha baada ya kuchukua ubingwa wa kombe la Dunia mwezi uliopita. Mlinda mlango wa Argentina Emiliano Martinez alionyesha...
  16. J

    Hatimaye Rais wa FIFA akiri, ataja sababu ya Argentina kushinda kombe la Dunia

    Kwa Tafsiri ya Kiswahili ni " Ingekuwa sio haki Kama Messi angestaafu bila kushinda kombe la Dunia" Kumbuka na Hawa walishatabiri Argentina itabeba kombe baada ya kuona Mambo yalivyokuwa yakienda
  17. J

    Picha ya mchezaji wa Argentina yachafua ulimwengu mzima

    Jamaa baada ya kupewa golden globe akafanya ishara Kama Ana**MBA vile mbele ya watu bilioni 4
  18. M

    Ni aibu ya mwaka, Mchambuzi wa kombe la dunia TBC adai golikipa wa Argentina anadakia pia timu ya Sevilla

    Huyu ndiye golikipa wa timu ya Taifa ya Argentina ambaye mchambuzi maandazi wa soka TBC alidai anaidakia timu ya Sevilla la liga Hispania. Ukweli ni kuwa ni golikipa wa Aston Villa EPL UIngereza. Huyu mchambuzi maandazi aliyepewa jukumu la kuchambua soka TBC wakati wa kombe la dunia sijui...
  19. aka2030

    Kwanini Argentina hakuna watu weusi?

    Nauliza tu taifa hilo why halina watu weusi wakati mataifa jirani yao wamejaa tele.
Back
Top Bottom