Play storeDownload inapatikana kupitia wapi mkuu?
Nikucheck wapi ili unipe hizo link mkuu?Sababu wengi hawaijui telegram basi watabisha!Ila App ya telegram ni kiboko sababu hata kama huna members wa kuchat kwenye contacts zako,telegram ina channels na group ambazo unajiunga bila kuungwa kuna channels na groups za kila kitu like movies,music,books,sport vitu vyoooote!WhatsApp sijaona kuizidi telegram!Download leo kisha nicheck nikupe links za Channels!Wazee wa Novels kuna chimbo moja huko hatari!
Kweli mkuu, iko poa sana. Wengi wataiponda sasa sababu ya Mange, lakini ni nzuri sana. Naitumia sana kudownload movies na nyimbo.Toka nimeijua telegram mwaka 2014 sijawahi kujutia, group linaweza kuwa updated hadi kuwa members zaid ya 8,000. Na hata ukifuta app ukija kuirudisha mambo yako yanarudi yote.
Ukiweza nambie nami nijaribuSijui kama nitaiweza,ila ngoja niijaribu kwa ajili ya hizo futures ulizoitaja hapo juu.asante mkuu
Tuko weng washambaMkuu asante kwa elimu. Nimebonyeza link nimefanikiwa mpaka ku download. Mimi mbumbumbu mzungu wa reli. Naomba unielimishe jinsi ya kuitumia. Samahani lakini.
Nami usinisahauDownload Telegram App then ntakutumia Links za channels
Pakua kisha nishtueNami usinisahau
Ukiwa na Telegram n ngumu kukamatwa make pale kuna setting ambz wawez zuia kupigiw simu pitia Telegram, Kulock app, na mengne kibao...Kwani inausalama gani hadi usikamatwe wakati unatumia net kama wasap
Kule hadi X videos zipo, HAKUNA KUKAMATWA LABDA UWE BOYA NA MWENYE TAMAA ZA KIPUUZIUsalama wake ukoje kwenye kukamatwa kama Facebook, si unajua uruhusiwi kupiga nyimbo zisizo za kusifu na kuabudu.
Wanaoiponda hawaijui telegram hata kama mtu kakutumia vitu ukavifuta kwenye simu una uwezo wa kuingia na kuvipata tena ile app haina mfano kwa uwezo wakeKweli mkuu, iko poa sana. Wengi wataiponda sasa sababu ya Mange, lakini ni nzuri sana. Naitumia sana kudownload movies na nyimbo.
Vijana wa Lumumba na nyie bhanaaa !! Yaan kla jambo mnaisi ni matayarisho ya 26? Hat ambaye hausik na na huo ujinga wa 26 bado mnazan anataka kuandaa mpango wa 26? Ebu tudscuss ya maana mud mwngne aisee,, tufanye siasa iwe kama simba na yanga utan mwngi na sio uadui mpka kuchukiana kwa sabab ya siasaBaada ya dada yenu kuwaambia mjiunge huko ili msikamatwe
TayariPakua kisha nishtue
Wanajiona wako smart kumbe hovyo kabisa..
Kiukweli Telegram ikopoa sana, mnaweza kushare aina yoyote ya file bila kujali size, channels kibao za movie na series, vitabu nk. Hayo ya dada yenuhayo mtayajua nyie. Mtoa mada yuko sahihi na hii mada kaweka sehemu sahihi. Msilete michangio ya kisiasa kwenye jukwaa la tech.Baada ya dada yenu kuwaambia mjiunge huko ili msikamatwe
Mnajishtukia!Nyinyi kama kweli mko ngangali basi subirini maumivu...Kiukweli Telegram ikopoa sana, mnaweza kushare aina yoyote ya file bila kujali size, channels kibao za movie na series, vitabu nk. Hayo ya dada yenuhayo mtayajua nyie. Mtoa mada yuko sahihi na hii mada kaweka sehemu sahihi. Msilete michangio ya kisiasa kwenye jukwaa la tech.
Nakubakiana na wewe kwenye swala zima la channel za Telegram, ukipata channel nzur utajifunza mengi na ku enjoy vitu vingiSababu wengi hawaijui telegram basi watabisha!Ila App ya telegram ni kiboko sababu hata kama huna members wa kuchat kwenye contacts zako,telegram ina channels na group ambazo unajiunga bila kuungwa kuna channels na groups za kila kitu like movies,music,books,sport vitu vyoooote!WhatsApp sijaona kuizidi telegram!Download leo kisha nicheck nikupe links za Channels!Wazee wa Novels kuna chimbo moja huko hatari!