Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,148
- 190,643
Hizo channel wajiungaje? Nilishawahi kuwa na hio app kuna mtu aliomba nijiunge nayo akawa ana broadcast mikeka. Sikuielewa sana after sometime nikaifutilia mbali. Binafsi naiona iko complex kueleweka kwa naive people.
Whatsapp usumbufu ni kwenye verification tu. Baada ya hapo ni bata tu. Haina complication za kiduanzi.
Whatsapp usumbufu ni kwenye verification tu. Baada ya hapo ni bata tu. Haina complication za kiduanzi.
zNakubakiana na wewe kwenye swala zima la channel za Telegram, ukipata channel nzur utajifunza mengi na ku enjoy vitu vingi
ina channels nyingi sana za telegram, ambazo zimewekwa katika categories, all you have to do ni kuchagua channel inayokuvutia then itakuuliza unataka ku open with app gani, select telegram, telegram automatically inafunguka directly kwenye hyo channel. Baada ya hapo una tap kwenye join and you are good to go. Ila kabla ya yote inabdi uwe umesha download app ya telegram either kutoka playstore au appstore. I hope ntakua nimejieleza vzuri mkuu.