Application ya telegram ni nzuri kuliko whatsapp

Application ya telegram ni nzuri kuliko whatsapp

Hizo channel wajiungaje? Nilishawahi kuwa na hio app kuna mtu aliomba nijiunge nayo akawa ana broadcast mikeka. Sikuielewa sana after sometime nikaifutilia mbali. Binafsi naiona iko complex kueleweka kwa naive people.

Whatsapp usumbufu ni kwenye verification tu. Baada ya hapo ni bata tu. Haina complication za kiduanzi.
Nakubakiana na wewe kwenye swala zima la channel za Telegram, ukipata channel nzur utajifunza mengi na ku enjoy vitu vingi
z
 
Hizo channel wajiungaje? Nilishawahi kuwa na hio app kuna mtu aliomba nijiunge nayo akawa ana broadcast mikeka. Sikuielewa sana after sometime nikaifutilia mbali. Binafsi naiona iko complex kueleweka kwa naive people.

Whatsapp usumbufu ni kwenye verification tu. Baada ya hapo ni bata tu. Haina complication za kiduanzi.

z
The Best Telegram Channels list on 2018 (Best of the World)
Hyo link ina channels nyingi sana za telegram, ambazo zimewekwa katika categories, all you have to do ni kuchagua channel inayokuvutia then itakuuliza unataka ku open with app gani, select telegram, telegram automatically inafunguka directly kwenye hyo channel. Baada ya hapo una tap kwenye join and you are good to go. Ila kabla ya yote inabdi uwe umesha download app ya telegram either kutoka playstore au appstore. I hope ntakua nimejieleza vzuri mkuu.
 
Hizo channel wajiungaje? Nilishawahi kuwa na hio app kuna mtu aliomba nijiunge nayo akawa ana broadcast mikeka. Sikuielewa sana after sometime nikaifutilia mbali. Binafsi naiona iko complex kueleweka kwa naive people.

Whatsapp usumbufu ni kwenye verification tu. Baada ya hapo ni bata tu. Haina complication za kiduanzi.

z
Haiko Ngumu Kama Ukiwa Na Links Ambazo Zina mambo Unayopenda Kama Muziki,Movies
 
Mkuu kwenye izo channel/group hakuna access ya Ku comment au Ku share something???
Wenye Nazo Hawahitaji Comments Bali Wao Wanaprovide Madude tuuu!Ukitaka Comment Sometimes wanataka Uwape Hela Sijui Mfano Unataka Movies Labda
 
Kiukweli Telegram ikopoa sana, mnaweza kushare aina yoyote ya file bila kujali size, channels kibao za movie na series, vitabu nk. Hayo ya dada yenuhayo mtayajua nyie. Mtoa mada yuko sahihi na hii mada kaweka sehemu sahihi. Msilete michangio ya kisiasa kwenye jukwaa la tech.
Akili za kuambiwa changanya na zako....
 
mawasiliano
Mkuu telegram ni habari nyingine bwanaa wana option moja inaitwa secret chat 1.ni end-to-end encryption, 2.haiachi trace ktk server zao, 3.ina self destractive timer yaani kila baada ya sekunde 7 ujumbe ulioutuma unajifuta wenyewe, 4.chengine hairuhusu kufowadi ujumbe. 5.Balaa lengine ukiingia kwenye hiyo secret chat hadi screenshot inagoma. yaani hawaruhusu hata screenshot. Jioone mwenyewe kwenye picha hizi
 

Attachments

  • IMG-20180428-WA0001.jpg
    IMG-20180428-WA0001.jpg
    43.7 KB · Views: 137
  • IMG-20180428-WA0000.jpg
    IMG-20180428-WA0000.jpg
    27.9 KB · Views: 125
Sababu wengi hawaijui telegram basi watabisha!Ila App ya telegram ni kiboko sababu hata kama huna members wa kuchat kwenye contacts zako,telegram ina channels na group ambazo unajiunga bila kuungwa kuna channels na groups za kila kitu like movies,music,books,sport vitu vyoooote!WhatsApp sijaona kuizidi telegram!Download leo kisha nicheck nikupe links za Channels!Wazee wa Novels kuna chimbo moja huko hatari!
Boss naomba Channel za movies na Software's
 
Back
Top Bottom