Halafu hivi sasa nipo hapa jf via telegram!Pamoja sana mzeee
Halafu hivi sasa nipo hapa jf via telegram!Pamoja sana mzeee
mkuu uliona serekali moja kubwa ilikuwa inalia telegram ifungiwe maana security yake ni balaaTelegram haina end to end encryption kwa msg zake za kawaida hivyo kiusalama haiko vizuri sana.
BlueIna rangi gani iyo
namjuza, ni urusi bro, imeshindwa hata kuhackmkuu uliona serekali moja kubwa ilikuwa inalia telegram ifungiwe maana security yake ni balaa
Nielekeze na mimi nizame fastaSababu wengi hawaijui telegram basi watabisha!Ila App ya telegram ni kiboko sababu hata kama huna members wa kuchat kwenye contacts zako,telegram ina channels na group ambazo unajiunga bila kuungwa kuna channels na groups za kila kitu like movies,music,books,sport vitu vyoooote!WhatsApp sijaona kuizidi telegram!Download leo kisha nicheck nikupe links za Channels!Wazee wa Novels kuna chimbo moja huko hatari!
Download Telegram App then ntakutumia Links za channelsNielekeze na mimi nizame fasta
nimeanza na channel ya IT imenifaa haswa sie wazee wa CODINGSawa!Kama App Ya Telegram Unayo Basi Bonyeza Link Iyo Hapo Nilopost ikifunguka utaona Channels/Groups mbalimbali kisha chagua unayopenda kama Ni movies au Music au free apps kisha Jiunge uanze kuenjoy
Hahaha Telegram Ni Mwisho Wa Matatizo Aisee WhatsApp Wajipangenimeanza na channel ya IT imenifaa haswa sie wazee wa CODING
Wameifungia kwa vile wamekataa kutoka encryption keys, hizi keys wanazo kwa vile hawatumii end to end encryption, Apps kama WhatsApp na Signal zinatumia end to end encryption kwa hiyo hata hizo keys hawana na hawana uwezo wa kumpa mtu yoyote.mkuu uliona serekali moja kubwa ilikuwa inalia telegram ifungiwe maana security yake ni balaa
zaidi ya udaku wabongo wana mawasiliano gani mpaka uogope? kwanza telegram ni ya warusi hawajui kiswahiliTelegram sio salama, haitumii end to end encryption (msg za kawaida) fungua za mawasiliano yako yote wanazo kwenye server zao. App kama WhatsApp, Wire, Signal hawana funguo hizo kwa sababu ya end2end encryption.
Utakuta kimya kimya unaidownload! Bila unafiki maisha hayaendiBaada ya dada yenu kuwaambia mjiunge huko ili msikamatwe