Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 5,135
- 7,652
Nilifikiri ni mimi tu!Shida hapo kwy kujiunga. Kuna arrow ya add lakini ukiibonyeza inafunguka kwy browser alafu inafail - page not found
Nilifikiri ni mimi tu!Shida hapo kwy kujiunga. Kuna arrow ya add lakini ukiibonyeza inafunguka kwy browser alafu inafail - page not found
Mbona kwangu ni muzuka tuuu nyie mnafeli wapiNilifikiri ni mimi tu!
Tayari mkuu na channels piaDownload Telegram App then ntakutumia Links za channels
hivi nikitaka kupata group za telegram Kwaku search nifanye jeWameifungia kwa vile wamekataa kutoka encryption keys, hizi keys wanazo kwa vile hawatumii end to end encryption, Apps kama WhatsApp na Signal zinatumia end to end encryption kwa hiyo hata hizo keys hawana na hawana uwezo wa kumpa mtu yoyote.
Keys za WhatsApp zipo kwenye simu za mtumiaji tu, hivyo serikali yoyote hawawezi kuzipata kutoka kwa kampuni.
ndo kuna yule ndugu yetu alisema anawajua wanatumia telegram kuamasisha maandamano ilibidi nishangae watu wazito wameshindwa hack ila yule ndugu kawezanamjuza, ni urusi bro, imeshindwa hata kuhack
Mwanaginingi:hivi nikitaka kupata group za telegram Kwaku search nifanye je
thanks ngoja nizame machimbo ya hacking
Inayo secret chatTelegram haina end to end encryption kwa msg zake za kawaida hivyo kiusalama haiko vizuri sana.
Yes, ndo maana nikasema msg za kawaida. Asilimia kubwa ya watu hawatumii secret chat, kwenye WhatsApp na Signal end2end ipo kwa msg zote.Inayo secret chat
Yaweza kua huwa unaingia na kutoka tu,, Kaa na uichunguze, utaona ni bora kulko WhatsApp...Mi niko kule lakini mbona sifaidi kivile?
Telegram haionyeshi namba za simu mzee!! Labda kama mtu kakuomba na ukampa kwa hiari yako... Hapo ndo lolote laweza tokea...VIP kuhusu kudukuliwa no yako ya simu na taarifa zako huko telegram,
Telegram Channels Catalog: explore full collection of Telegram channels availableNaomba link ya novels
Ni ngumu sanaVIP kuhusu kudukuliwa no yako ya simu na taarifa zako huko telegram,