Application ya telegram ni nzuri kuliko whatsapp

Application ya telegram ni nzuri kuliko whatsapp

Mkuu telegram ni habari nyingine bwanaa wana option moja inaitwa secret chat 1.ni end-to-end encryption, 2.haiachi trace ktk server zao, 3.ina self destractive timer yaani kila baada ya sekunde 7 ujumbe ulioutuma unajifuta wenyewe, 4.chengine hairuhusu kufowadi ujumbe. 5.Balaa lengine ukiingia kwenye hiyo secret chat hadi screenshot inagoma. yaani hawaruhusu hata screenshot. Jioone mwenyewe kwenye picha hizi
Je nikianua kupiga picha chat kwa simu nyingine itagoma ?
 
Naombeni grup la mafans wa united la telegram


Sent from my GT-I9305 using Tapatalk
 
Mwenye channel za telegram za kibongo au east africa atume sanasana za tech..
 
Ukiwa na Telegram n ngumu kukamatwa make pale kuna setting ambz wawez zuia kupigiw simu pitia Telegram, Kulock app, na mengne kibao...

Hadi taifa la Russia wamesanda make walishndwa kuucontrol km Mitandao mingine,,,,
Asaiv ina makao makuu yake Dubai, wamehama Russia...
 
Naitumia iko poa
Hata mimi naipenda sana Tereglam aisee ona hapa naenjoy kuliko WhatsApp mara 100
Screenshot_20190712-183742.jpeg
Screenshot_20190712-183725.jpeg
Screenshot_20190712-183705.jpeg
Screenshot_20190712-183649.jpeg
 
AJIRA & EDUCATION NEWS
TELEGRAM GROUP KWA AJILI YA;-
■ Habari Za Elimu
■ Matangazo Ya Ajira, Interview Tips
■ Internships
■ Matangazo Ya Vyuo
■ Taaarifa Za HESLB, NECTA, TCU, AJIRA PORTAL, TAMISEMI, NACTE, MOEST Etc

Contact Telegram: 0786142508




SCHOOL PVH
Center of Education resources
 
Back
Top Bottom