Application ya telegram ni nzuri kuliko whatsapp

Application ya telegram ni nzuri kuliko whatsapp

Mkuu asante kwa elimu. Nimebonyeza link nimefanikiwa mpaka ku download. Mimi mbumbumbu mzungu wa reli. Naomba unielimishe jinsi ya kuitumia. Samahani lakini.
Sawa!Kama App Ya Telegram Unayo Basi Bonyeza Link Iyo Hapo Nilopost ikifunguka utaona Channels/Groups mbalimbali kisha chagua unayopenda kama Ni movies au Music au free apps kisha Jiunge uanze kuenjoy
 
Yule wa mtwara aliesema wamewakamata wa Wasap na telegram ilikuwa kiki au alimaanisha
Nimesikia Russia kwamba walishindwa kuingilia mfumo wa telegram hivyo wakapiga marufuku utumike nchini kwao japo sina uhakika na habari hii, yule wa mtwara hata sikumuelewa juu ya telegram labda alisahau kusema instagram
 
Mimi tangu niijue telegram sitaki kusikia kitu kiitwacho watsap. Ni laini kuitumia kwenye desktop ina mabo mengi sana na ina uwezo wa kushare vitu haraka na kiurahisi sana , makundi yake yanachukua watu wengi
 
Sawa!Kama App Ya Telegram Unayo Basi Bonyeza Link Iyo Hapo Nilopost ikifunguka utaona Channels/Groups mbalimbali kisha chagua unayopenda kama Ni movies au Music au free apps kisha Jiunge uanze kuenjoy
Shida hapo kwy kujiunga. Kuna arrow ya add lakini ukiibonyeza inafunguka kwy browser alafu inafail - page not found
 
Shida hapo kwy kujiunga. Kuna arrow ya add lakini ukiibonyeza inafunguka kwy browser alafu inafail - page not found
Pole!Kama una telegram app nitafute kwa jina la mwanaginingi nikutumie links
 
Sawa!Kama App Ya Telegram Unayo Basi Bonyeza Link Iyo Hapo Nilopost ikifunguka utaona Channels/Groups mbalimbali kisha chagua unayopenda kama Ni movies au Music au free apps kisha Jiunge uanze kuenjoy
Asante Mkuu. Mpaka sasa sijalala. Nainjoi "kichizi". Nataka inisaidie kufundisha.
 
Back
Top Bottom