The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 5,082
- 20,798
Mkoa gani 4G ya voda ni tatizo?4G ya voda mikoani tu tatizo hivi hawa kwanini wasinalizane na uwekezaji wa uhakika wa ngazi moja kisha waende nyingine tofaut na kurukaruka tu
Mimi nafanya kazi ya kuzunguka hii nchi yote kila mwaka mtandao pekee wenye internet ya kueleweka ni Vodacom tu, uzuri wao kama hakuna mtandao basi haupo, maana yake hata wa voice unakua haupo. Ila kama voice upo basi ni 4G ya kueleweka. Kama upo upo, kama hawana coverage basi hawana.
Vodacom kwa internet Tanzania hana mpinzani.