Hata iphone sasa hivi wameathirika simu zinauza sana kwao ni SE na iphone 11 (zote ni chini ya Dola 700) hizo ni bei za midrange siku hizi. Zile za bei za juu kama pro na max haziuzi tena kama zamani.Soko la high end sasa Apple hana mpinzani . Ni IPhone 11 vs iPhone 12
hahahah hivi ishu ya chaja iko hivyo? Huu utopolo kwelikweliYaani isheep wao apple akisema hiki hakitaki au hakiweki basi na wao wanasema apple hajaweka sio cha muhimu.
Isheep apple akiwaambia this time mpigwe mashine watatugawia sana makalio bure kwa sababu apple kasema.
Chochote atakachokisema apple wao wanakipokea kama kilivyo. Apple akisema 5G sio ya muhimu isheep wote wanakubali, kesho akisema ni muhimu wote wanakubali.
Hivi hizi simu mbona hawaweki battery capacity? Sioni RAM, sioni 120hz display.
Mwakani Apple ataongeza tu 120 display na RAM kidogo tu halafu atawapiga bei kondoo wake na wao wanachekelea.
Leo anawaambia hatoi charger kwa sababu ya kimazingira lakini anasema ukiihitaji unaweza kununua. Kwamba ukinunua seperate huharibu mazingira ila ikija na simu inaharibu mazingira na makondoo yanachekelea tu. Halafu watu kama hao wanawacheka waumini wa mzee wa upako au wa Gwajima.
mkuu unazungumziaje 5g bado ni gimick????Soko la high end sasa Apple hana mpinzani . Ni IPhone 11 vs iPhone 12
Ofcoz bado ni gimmick.
nimemsikiliza marques brownlee anasema hivi pia.Ofcoz bado ni gimmick.
Nchi yenye coverage kubwa ya 5G ni S. Korea tu.
Hata huko US sehemu kubwa sana haina hiyo 5G.
Huku bongo inaweza chukua hata miaka mitatu kujwa kwa 5G.
Nadhani makampuni ya simu yanatoa simu za 5G kupata feedback ya performance kutokana na simu wanazozitengeneza.
Ofcoz bado ni gimmick.
Nchi yenye coverage kubwa ya 5G ni S. Korea tu.
Hata huko US sehemu kubwa sana haina hiyo 5G.
Huku bongo inaweza chukua hata miaka mitatu kujwa kwa 5G.
Nadhani makampuni ya simu yanatoa simu za 5G kupata feedback ya performance kutokana na simu wanazozitengeneza.
Tulikuwa ni kati ya nchi za mwanzo kabisa kupata 4g Duniani na Smile.Mkuu bongo 5G miaka 3 au 10? Kama 3G tu hadi Leo ni mtihani itaja kuwa 5G
Wanataka kupiga pesa tu... Wanajua watu watafoc wanunue hizo charger zaoWamesema wanataka kwenda na technology ni wireless tu ila charger unatumia kama unayo. Ila wamekuja na magsafe charger htr unachaj faster
4G ya voda mikoani tu tatizo hivi hawa kwanini wasinalizane na uwekezaji wa uhakika wa ngazi moja kisha waende nyingine tofaut na kurukaruka tuTulikuwa ni kati ya nchi za mwanzo kabisa kupata 4g Duniani na Smile.
Sema 5G sio speed tu ina mambo mengi sana na nahisi hapa kwetu bado watu wamelala hasa upande wa internet of things, hivyo itakuwa ngumu kwa isp kurudisha hela yake haraka.
Ila naona Voda wametangaza wapo kwenye Mazungumzo na Tcra kuleta 5g.
Kiongozi hivi kuna kampuni ya simu bongo inayotoa volte, je kama ni ipo hii inategemea tu isp au na device yenyewe? Manake nimekua nikiwaona rafiki zangu wakenya mara nying wakiscreen short kitu pale juu panasoma volte na pia normall calls zao zinakua na neno H. D mwishoniTulikuwa ni kati ya nchi za mwanzo kabisa kupata 4g Duniani na Smile.
Sema 5G sio speed tu ina mambo mengi sana na nahisi hapa kwetu bado watu wamelala hasa upande wa internet of things, hivyo itakuwa ngumu kwa isp kurudisha hela yake haraka.
Ila naona Voda wametangaza wapo kwenye Mazungumzo na Tcra kuleta 5g.
Hata mwenye vits anasema yani hili gari langu linanipa kila kitu anachopata mwenye discovery 4. Yani hadi lift ninagawa naigeuza kama Noah. Nitake nini cha zaidi? Lakini tunaelewa tu kuwa kuna gari na kuna usafiri.Mkuu kwa ufupi simu niliyonayo inatosha. Mpaka naigeuza inakuwa modem, nagawa wifi, nataka Nini Cha zaidi
usijitoe akili.iPhone wapo kuwaibia wateja wao hakuna jipaya hata moja.
retina is better than amoledYaani iPhone anakuja na Super Retina display kwa premium model?
Nini kimewafanya waache super amoled display?
CC Chief-Mkwawa
huna helaKwanza. Iphone za wadada vidume Ngoja tuendelee kutumia TECNO
retina is better than amoled
retina is better than amoled
hapa ndio huwa naona unayumba mkuu.True , amoled kapitwa siku nyingi sana.