Apple Iphone 12 is finally here

mkuu hiyo ndio emonj bora ya wakati wote kutoka samsung.

swala hapa kuhusu yoote uliyoandika,wa kulaumiwa na kuonekana ni mzembe kuliko wote ni pixel kutoka google.
anauza bidhaa zake bei juu wakati ameshindwa kuzi optimize ziendane na software anayoimiliki yeye mwenyewe,hawa wengine tutawaonea bure..
 



Compare.
 
Iphone wananunua hizo amoled kwa samsung sasa wameamua safari hii wasimpe dili
Bado Apple ananunua Oled kwa Samsung mwaka huu baada ya Oled za BOE kufeli test za Apple...hata Samsung alitaka atumie Oled za BOE kwenye A series mwaka huu ila zikafeli test pia za Samsung so wanaendelea na Oled zao.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Apple ni wajanja sana kwanza wanaanglia weakness ya wenzao afu wanafanya yao..
 

Mkuu wakati samsung wanatoa s20 ilikua bei juu ya iphone 11 pro max ila now?? Imeshuka bei sana imeshindwa kuwa consistent kwenye market kama iphone11 pro max promax bado price inarange 2.6-3m. Apple wako vzr sana mkuu
 

Mzee hio $699 no tax hapo sasa iship bongo ndo utajua hujui
 

we jamaa upo nondo agiza jack daniel ntalipia. Nilikua sijui about sony kuproduce camera za iphone vip kuhusu display za iphone12 nani katengeneza now
 
Mkuu wakati samsung wanatoa s20 ilikua bei juu ya iphone 11 pro max ila now?? Imeshuka bei sana imeshindwa kuwa consistent kwenye market kama iphone11 pro max promax bado price inarange 2.6-3m. Apple wako vzr sana mkuu
samsung tokea s1,ndio utaratibu wake huo.

hata hii note 20 ultra imeipita bei iphone 12pro max.ila baada ya miezi 8 mpaka 9 tu utakuta samsung imeshashuka sana kuipisha mpya.

so wiki kadhaa tutarajie 12 kuingia sokoni na bei mpya,hivyo 11 pro max itarudi mpaka 1.8,sijui 11 pro,11 ,xr,xe na xs max zitakalia wapi???ukiachana na x na nduguze wakiwa wanahangaika kwenye laki 8 huko chini.

kikubwa samsung wanakupa uhakika wa maika 2 tu baada ya happ bro,changia kampuni.
 
we jamaa upo nondo agiza jack daniel ntalipia. Nilikua sijui about sony kuproduce camera za iphone vip kuhusu display za iphone12 nani katengeneza now
hapo ishu ni OS(hardware na software kwa pamoja).android inayumba sana.

yaani kama samsung angekomaa na tizen hali ingekuwa tofauti sana sokoni,
uliishawagi shika simu za window ukaona balaa lake la camera na mambo mengine????
 

Tajir unajua s20 ultra bei yake now??
 
Tajir unajua s20 ultra bei yake now??
hata 11 pro max ilikuwa 3.4

now ni 2.6 kabla ya 12 haijajngia sokoni.

ni mambo ya kawaida,tena apple kaingia soko la midd range ndio kabisaa,tegemea maajabu zaidi.
 
Tax hapo times2 ya hio price kuna shipping cost mtu hajaweka profit bado hio itapaa mpakaa 2.3 huko we subir
huu umbuzi,ndio huwa unafanya baada ya miezi mitatu mtu unajutia papara zako za kiwahi simu mpya.

unakurupuka unagongwa 2.2ml,miezi miwili unashangaa simu hiyo hiyo inauzwa 1.7mln.

wazee full box miyeyusho sana.
 
Mkuu wakati samsung wanatoa s20 ilikua bei juu ya iphone 11 pro max ila now?? Imeshuka bei sana imeshindwa kuwa consistent kwenye market kama iphone11 pro max promax bado price inarange 2.6-3m. Apple wako vzr sana mkuu
1. S20 haijawahi kuwa juu ya pro max usichanganye s20 na s20 ultra.

2. Simu za samsung zinazoshuka thamani sana ni refurb ingia amazon sasa hivi s20 ultra inatembea zaidi ya dola 1200 ambayo ni 3m+
 
Mwanaume unaangalia simu emoj? Uko serious kweli mwanaume unalilia emoj?

Nenda kwa simu za Mashoga kina Tim Cook ndio zina emoj unazoendana nazo.
 
Nimependa shape ya simu maana kwangu muundo wa iphone 5, 5s na 5se ndo the best haya mengine yalikuwa hayanivutii sasa ninaona wamerudisha muundo huo safi sana.
Ila kitakachomuua iPhone ni kufikiri anajua sana kuliko wateja kama kilichomuua Blackberry,
iPhone amekuwa na kiburi kiasi kwamba ni kama vile ana anatuambia hataki wateja wapya ndiyo maana anasema tayari wateja wana chaja za zamani haina haja ya kuship simu na chaja mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…