App za Mange Kimambi na Yerricko Nyerere zinawezaje kuvuka vikwazo vya google?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,240
12,762
Google wanataka kama una app inayofanya in app purchases, kama kulipia subscription au digital goods zingine basi ni lazima kulipa kulipia kwa google play billing system. Walitoa deadline mwezi wa 9 2021. Hawaruhusu malipo kufanyika nje ya app. Kwenye huu mfumo wao wanakata 30%

Huu mfumo siyo rafiki sana. Unatumia Visa, mastercard nk, mifumo ambayo si rafiki bongo. Bongo mifumo rafiki ya malipo ni kulipa kwa simu.

Sasa naona app ya Mange na Yerricko malipo yao yanafanyika kwa simu na nje ya app. Naomba kujua wamewezaje bila kuingia matatani na google? Au kuna namna ya kukwepa vikwazo?
 
Google wanataka kama una app inayofanya in app purchases, kama kulipia subscription au digital goods zingine basi ni lazima kulipa kulipia kwa google play billing system. Walitoa deadline mwezi wa 9 2021. Hawaruhusu malipo kufanyika nje ya app. Kwenye huu mfumo wao wanakata 30%

Huu mfumo siyo rafiki sana. Unatumia Visa, mastercard nk, mifumo ambayo si rafiki bongo. Bongo mifumo rafiki ya malipo ni kulipa kwa simu.

Sasa naona app ya Mange na Yerricko malipo yao yanafanyika kwa simu na nje ya app. Naomba kujua wamewezaje bila kuingia matatani na google? Au kuna namna ya kukwepa vikwazo?
Umeona app zinazolipa Kwa simu ni hizo mbili tu au chuki yako kwao ndio imekukumbusha!!??
 
Nazijua hizi mbili. Kama unamawazo ya kichuki basi wewe ni mpumbavu.
Yale malipo naona wanayahandle selcom niliona alipost msg toka selcom, huenda wao kuna jinsi wanavyoyapeleka tena kwa google pay.
What of mtu ataamua app yake isikae playstore akaiweka kwenye web mtu anapakua apk?
Hata apple wana hii kitu na uzuri wao ngumu kuinstall app nje ya appstore
 
Yale malipo naona wanayahandle selcom niliona alipost msg toka selcom, huenda wao kuna jinsi wanavyoyapeleka tena kwa google pay.
What of mtu ataamua app yake isikae playstore akaiweka kwenye web mtu anapakua apk?
Hata apple wana hii kitu na uzuri wao ngumu kuinstall app nje ya appstore
Umenipa mwanga mzuri sana, shukrani. Kama app ipo nje, playstore hawahusiki. Na google walisema kabisa kuwa android kuna app platforms nyingi. Unaweza kuweka app yako kwingine kama hukubaliani nao. Tatizo ni watu kuiamini app yako kama umeiweka kwenye website. Labda kama nchi tupate app platform yetu, inawezekana. Iran wanayo yao inaitwa bazaar, ni kubwa sana. Kama waziri anayehusika angeliangalia hili lingekuwa na manufaa sana.
 
Monopoly ya Play store na app store ni ya kiunyonyaji yaani.

fikiria unanzisha app, unalipia server, unalipia 63,000 ya play store, unalipia $99 kila mwaka ya Apple app store, unafanya campaign na marketing kuzipush app.

Halafu kirahisi Google na Apple Wanalazimisha kuchukua 30% , ukitaka malipo nje mfumo wao wanaondoa app yako kama walivyovanyiwa Fortnite
 
Monopoly ya Play store na app store ni ya kiunyonyaji yaani.

fikiria unanzisha app, unalipia server, unalipia 63,000 ya play store, unalipia $99 kila mwaka ya Apple app store, unafanya campaign na marketing kuzipush app.

Halafu kirahisi Google na Apple Wanalazimisha kuchukua 30% , ukitaka malipo nje mfumo wao wanaondoa app yako kama walivyovanyiwa Fortnite
Yaani ni unyonyaji sana. Kuna mtu kaniambia hao Fortnite waliwapeleka apple mahakamani, apple wakashinda ma hao fortnite wakafirisika. Kuna uhitaji mkubwa wa mbadala wa hizi app platforms.
 
Yaani ni unyonyaji sana. Kuna mtu kaniambia hao Fortnite waliwapeleka apple mahakamani, apple wakashinda ma hao fortnite wakafirisika. Kuna uhitaji mkubwa wa mbadala wa hizi app platforms.
Hapo haihitajiki Platform mpya. Ni Kuja na Android nje ya Google na Kutengeneza Infrastructure kama ya Google ikiwa na masharti rafiki.
Pesa ya kufanya haya unayo? Wenye nayo hawaoni kama ni opportunity.

Anyway nenda kam tease Elon Musk na hii idea!
 
kwa uelewa wangu mimi google pay is only available kwenye native apps. ila kama app sio native google pay hawahusiki nayo vile vile wakati una sajili app google kuna form una choose ukijaza app yako ni inapp purchase lazima watakupiga komeo lao ni lazima utumie google pay lakini kama utaweka app yako sio inapp purchase bas hapo upo freee kuendelea na michongo mingine. kwa uelewa wangu mimi
 
Nilitarajia uanze kuwaza hii opportunity, unataka waziri afanye nini sasa?
Hizi akili za Kijamaa sijui zitaondoka mwaka gani. Kila kitu serikali serikali, waziri waziri!
Lazima serikali iwezeshe. Kuunda kitu kama hicho siyo kazi ndogo. Makampuni makubwa duniani unaona leo yamesimama, kama Toyota au Samsung bila serikali zao kutia mguu yadingekuwa yalipo.
 
kwa uelewa wangu mimi google pay is only available kwenye native apps. ila kama app sio native google pay hawahusiki nayo vile vile wakati una sajili app google kuna form una choose ukijaza app yako ni inapp purchase lazima watakupiga komeo lao ni lazima utumie google pay lakini kama utaweka app yako sio inapp purchase bas hapo upo freee kuendelea na michongo mingine. kwa uelewa wangu mimi
Sema wakikugundua unadirect malipo sehemu nyingine ni msala.
 
Lazima serikali iwezeshe. Kuunda kitu kama hicho siyo kazi ndogo. Makampuni makubwa duniani unaona leo yamesimama, kama Toyota au Samsung bila serikali zao kutia mguu yadingekuwa yalipo.
Uwa anaanza mtu tafu anakuja pigwa baadae baada ya serikali kuona hiki kitu kimebeba uchumi wa nchi hapa kilipofika.
Ulishawahi kusoma vita ya ndugu wawili wa familia ya ambhani baada baba yao kufariki bila kuacha wosia ndugu wakaanza kugombana hadi serikali ya India kuingilia kati maana ilikuwa inatishia uchumi wa nchi
 
Uwa anaanza mtu tafu anakuja pigwa baadae baada ya serikali kuona hiki kitu kimebeba uchumi wa nchi hapa kilipofika.
Ulishawahi kusoma vita ya ndugu wawili wa familia ya ambhani baada baba yao kufariki bila kuacha wosia ndugu wakaanza kugombana hadi serikali ya India kuingilia kati maana ilikuwa inatishia uchumi wa nchi
Yap, nimewahi cheki kisa chao Youtube. Kuna vitu sababu ya mtaji mkubwa wa kuanzia lazima serikalu itie mkono toka mwanzo.
 
Lazima serikali iwezeshe. Kuunda kitu kama hicho siyo kazi ndogo. Makampuni makubwa duniani unaona leo yamesimama, kama Toyota au Samsung bila serikali zao kutia mguu yadingekuwa yalipo.
Lazima kasema nani? Kazi ya serikali ni kuhakikisha unasoma, unaelimika. Kisha wanakuwekea mazingira ili ufanye mambo kama haya.

Sio kazi ya serikali kukuwezesha. We kama umeshindwa tulia tu. Pambana na hali yako.

Umesoma historia za hayo makampuni ukakuta serikali na waziri blah blah? Watu waliumia, wakapambana. Ukisubiri serikali utasubiri sana mpaka miguu iote kutu.

Kama unaona ni opportunity unaiweza, pambana kuichukua. Kama iko juu ya uwezo, potezea angalia za saizi yako.

Achana na serikali this serikali that.
 
Back
Top Bottom