Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,393
- 6,562
Me alikuwa ana 100 ila mchovu tu kwanza hajiposition ameniingiza hasaraAna 100%



Me alikuwa ana 100 ila mchovu tu kwanza hajiposition ameniingiza hasaraAna 100%



Me alikuwa ana 100 ila mchovu tu kwanza hajiposition ameniingiza hasara![]()
et ameniingiza hasara wewe ni daniel levy niniKaulize ulipo peleka mbogaJamani kati ya dream league na Pes 2018 hipi kali?
Mkuu unalipatia wapi?lina mb 300 za kudownload. na process nyingine ina contain mb kma 500 ivi
Hiyo dream league babuKaka mbona english premium league kwangu haikubali au mpaka upande levels za juu sana?
Angalia kwenye thread hii nyuma kidogo kuna jamaa ameweka namna ya kulipataMkuu unalipatia wapi?
Well illustrated!!Hiyo dream league babu
Hakuna ligi kila timu ina daraja lake unaanza
Academy division
Division 3
Division 2
Division 1
Junior elite division
Elite division
Kila daraja lina timu zake
Timu konkodi za soka zipo elite division asenali,Madrid,man u,barca,juve nk.
Ukishinda hadi level ya elite division ukamaliza top unaenda international level unakutana na national teams ka world cup hivi
Ukishinda unakutana na timu za continental allstars kama timu ya Africa,eastern Europe,western Europe,north America, south America etc
Ukishinda hapo unaenda kukutana na team yenyewe inaitwa First Touch Legendary Team hujui mchezaji hata mmoja ila ni hatari yana nguvu 96,95,97 etc li kipa lake ligumu kufungika
Ukishinda hapo timu yako ndo best team bac unakutana na timu yako mwenyewe
Yaani wachezaji wako walewale kila kitu kilekile labda wanachenji formation; hapa ndo utaelewa
Ukimaliza hapo bac unaanza elite division na unaendelea kama mwanzo
Ila huwezi kufika huko ka hauna pesa ; mm nilihack nikapata pesa za kutosha nikanunua uwanja mkubwa bila uwanja mzur hupandi daraja
Nikanunua best players kama messi,ronaldo nk
It is very fantastic game
Ila bila best players unajisumbua 2



Me alikuwa ana 100 ila mchovu tu kwanza hajiposition ameniingiza hasara![]()




















Unatumia ipi mkuunilikula vipigo nilivyokamata tier ya 5 nikashuka kama kimbunga mpaka ya 7 ndo nipo hapo ila natembeza vichapo vya hatari asante baraka kwa ile formation yako![]()
Poa poa mkuunilikula vipigo nilivyokamata tier ya 5 nikashuka kama kimbunga mpaka ya 7 ndo nipo hapo ila natembeza vichapo vya hatari asante baraka kwa ile formation yako![]()
inawezekana kabisa mkuu ukawapata, jaribu tu kutumia website zinazoaminika.Mkuu kwa hizi simu zetu zenye chipset Mediatek MT6737T mfn Samsung Galaxy Grand Prime plus... tukidownload haya makitu nje ya playstore haiwezi tuletea shidaa...hasa virus...
4 1 2 3 alafu naweka moderet naenjoy kwakweli natoa toa vipigo aseeeeUnatumia ipi mkuu
Mimi huwa na attack tu4 1 2 3 alafu naweka moderet naenjoy kwakweli natoa toa vipigo aseeee
Mimi huwa na attack tu









Upo online tier ya ngapi
Ukiweka attack
Offside nyingi magoal machache
Na timu pinzani ikipiga counterattack ujue goal![]()


