lina mb 300 za kudownload. na process nyingine ina contain mb kma 500 iviHapana mkuu hili game limekula gb1.5 yangu na halikuingia aaaaaahhhh
lina mb 300 za kudownload. na process nyingine ina contain mb kma 500 iviHapana mkuu hili game limekula gb1.5 yangu na halikuingia aaaaaahhhh
Umefanyaje kuzipata hizo coins nielekeze na mimi.maana wachezaji wa viwango vya chini wananitesa sana![]()
Hack billion coin![]()
Kaka mbona english premium league kwangu haikubali au mpaka upande levels za juu sana?lina mb 300 za kudownload. na process nyingine ina contain mb kma 500 ivi
DLS 2017 ?Kaka mbona english premium league kwangu haikubali au mpaka upande levels za juu sana?
Same hereHii tier 3 ya DLS17 Online naona inataka kunitawalaaaa Nina miezi 2 sijapanda daraja![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hapana kwenye pes 18 ft 18DLS 2017 ?
we kiboko kevel 19 duh.mi mwenzio kevel 9 nimeweka dificult game we acha tu sijui kama simu yangu itapona ?
hapana kwenye pes 18 ft 18
duh sijui game langu liko tofauti! au ni aina ya simu.maana ukisha andika jina la kocha wanakuletea option ya kuchagua league .nyingine zote zipo ila moja tu ya uingeleza ndo haipo![]()
![]()
fungua ilo game kuna option ya Customize itakuwa kama hapo juu then click izo logo za league
logo ya premier league haipo?duh sijui game langu liko tofauti! au ni aina ya simu.maana ukisha andika jina la kocha wanakuletea option ya kuchagua league .nyingine zote zipo ila moja tu ya uingeleza ndo haipo
Kaka ipo lakini sio active .naona aifunction kama hizi nyinginelogo ya premier league haipo?

