Apk ya Dream League soccer 2017

Apk ya Dream League soccer 2017

Nilifika tier ya 4 aseee nilikula vipigo vya haja nw nimeshuka mpaka 6#ila sija hack coin na wachezaj niliowajaza kufika mia ni ronaldo na messi wengne uwezo wa kawaida 78 81
 
Nilifika tier ya 4 aseee nilikula vipigo vya haja nw nimeshuka mpaka 6#ila sija hack coin na wachezaj niliowajaza kufika mia ni ronaldo na messi wengne uwezo wa kawaida 78 81
hatariii sana hesbone"" jana nimecheza na mtu wachezaji wote nguvu 100 ila nkampa dozi nzito aka quit
 
hatariii sana hesbone"" jana nimecheza na mtu wachezaji wote nguvu 100 ila nkampa dozi nzito aka quit
nakubaliana na ww wako watu wamewajaza wachezaj 100 wote kwakuhack coin ila viwango vyao hafifu....ila mi nashindwa kuelewa hivi kuna batan ya kupress kumpiga mtu push aseee maana nafungwa magoli mengi kwa kupigwa push na kunyanganywa mpiraa
 
nakubaliana na ww wako watu wamewajaza wachezaj 100 wote kwakuhack coin ila viwango vyao hafifu....ila mi nashindwa kuelewa hivi kuna batan ya kupress kumpiga mtu push aseee maana nafungwa magoli mengi kwa kupigwa push na kunyanganywa mpiraa
Kweli asee ila mchezaji ukimjaza 100 anakuwa na extra ordinary power"""push anapiga tu mkuu ila mimi nina crouch kila mpira wa kona nyavu 4 3 1 2 hapa ni mzee wa counter
 
Kweli asee ila mchezaji ukimjaza 100 anakuwa na extra ordinary power"""push anapiga tu mkuu ila mimi nina crouch kila mpira wa kona nyavu 4 3 1 2 hapa ni mzee wa counter
Hahahaha aseee umenifungua akili inabid nifumue kikosi changu mbele nina messi kati nina naingolan kante hawa wote wafupi afuu beki nina bally nina da silvaa wafupi hawa ndo mana kona sifungi inabid directa of football wa timu yangu nimpe adhabu aseee hajui kuselct
 
Hahahaha aseee umenifungua akili inabid nifumue kikosi changu mbele nina messi kati nina naingolan kante hawa wote wafupi afuu beki nina bally nina da silvaa wafupi hawa ndo mana kona sifungi inabid directa of football wa timu yangu nimpe adhabu aseee hajui kuselct
nouma sana
 
Hahahaha aseee umenifungua akili inabid nifumue kikosi changu mbele nina messi kati nina naingolan kante hawa wote wafupi afuu beki nina bally nina da silvaa wafupi hawa ndo mana kona sifungi inabid directa of football wa timu yangu nimpe adhabu aseee hajui kuselct
 
Ni mwendo wa kutoa vipigo tu online
bc615c99e1ef08664147821364e7e07f.jpg
 
af9d4ce2767b103d837c7a65e02eb2fe.jpg
wakuuu naomben msaada wenu nimebofya bofya nikajikuta narud mwanzo nilipoanzia nilikuwa nataka kuhack coin gafla ndo ikajitokeza hiyo hali...naomben mnipe njia ya kuhack coin ili niweze kuchit fasta nirud kwenye levo niliyokuwepo mwanzo
 
af9d4ce2767b103d837c7a65e02eb2fe.jpg
wakuuu naomben msaada wenu nimebofya bofya nikajikuta narud mwanzo nilipoanzia nilikuwa nataka kuhack coin gafla ndo ikajitokeza hiyo hali...naomben mnipe njia ya kuhack coin ili niweze kuchit fasta nirud kwenye levo niliyokuwepo mwanzo
Download "file commander" alafu nenda "android" kipengele cha "data" tafuta sehemu ya dls then futa kifile kimeandikwa "profile.dat". Ukimaliza hapo nenda google pakua hilo file la PROFILE.DAT alafu ukimaliza nenda tena kwenye file commander copy profile.dat nenda kaipaste kwenye sehemu ya android + data alafu ingia kwa game itakua fres
 
Download "file commander" alafu nenda "android" kipengele cha "data" tafuta sehemu ya dls then futa kifile kimeandikwa "profile.dat". Ukimaliza hapo nenda google pakua hilo file la PROFILE.DAT alafu ukimaliza nenda tena kwenye file commander copy profile.dat nenda kaipaste kwenye sehemu ya android + data alafu ingia kwa game itakua fres
Nimefata yote mkuu ila hapo mwishon nimefanikiwa kucopy lakin jinsi yakupest nimeshindwa
 
Cc bengazuu
Cc mtu wa green

Asanten sana wakuu dah hatimaye nimefanikiwa asee tena nashukuru sana ila lililonishangaza nimekuta ni game mtu alolicheza hahahhahah mamechi mengi tu alafu nikajaribu kuresert matokeo yake aloo wakanambia nitarud mwanzo kabisa ikabid niahirishe...

Kifupi nimegundua kumbe nikuendelea pale jamaa alipoishia na rekod zake naziendeleza
 
Cc bengazuu
Cc mtu wa green

Asanten sana wakuu dah hatimaye nimefanikiwa asee tena nashukuru sana ila lililonishangaza nimekuta ni game mtu alolicheza hahahhahah mamechi mengi tu alafu nikajaribu kuresert matokeo yake aloo wakanambia nitarud mwanzo kabisa ikabid niahirishe...

Kifupi nimegundua kumbe nikuendelea pale jamaa alipoishia na rekod zake naziendeleza
Poa poa mkuu wewe toa vichapo online mpaka wakimbie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom