karugila
JF-Expert Member
- Nov 6, 2014
- 1,275
- 687
300Lina mb ngapi kwanza
300Lina mb ngapi kwanza
Duh....mbona dogo hivo... Mimi nnalosema lilikua Na mb 750 fifa lakini halina manjonjo kiivo Hata Mpira unavoanza ni normal wachezaji wanaonekana vizuri pindi wanaposalimiana lakin mpira ukianza unakua wakasi lakini vimidoli uwanja mzima nyasi zimekolea utazani kapeti LA kijani LA sebleni Hata uhalisia wa nyasi haupo alaf ile pssp nayo kama pad lakin hard to contro Hata kama umezoea utakuta umetoa boko bila kukusudia .........
Duh....mbona dogo hivo... Mimi nnalosema lilikua Na mb 750 fifa lakini halina manjonjo kiivo Hata Mpira unavoanza ni normal wachezaji wanaonekana vizuri pindi wanaposalimiana lakin mpira ukianza unakua wakasi lakini vimidoli uwanja mzima nyasi zimekolea utazani kapeti LA kijani LA sebleni Hata uhalisia wa nyasi haupo alaf ile pssp nayo kama pad lakin hard to contro Hata kama umezoea utakuta umetoa boko bila kukusudia .........





Duh....mbona dogo hivo... Mimi nnalosema lilikua Na mb 750 fifa lakini halina manjonjo kiivo Hata Mpira unavoanza ni normal wachezaji wanaonekana vizuri pindi wanaposalimiana lakin mpira ukianza unakua wakasi lakini vimidoli uwanja mzima nyasi zimekolea utazani kapeti LA kijani LA sebleni Hata uhalisia wa nyasi haupo alaf ile pssp nayo kama pad lakin hard to contro Hata kama umezoea utakuta umetoa boko bila kukusudia .........
















Msomba niaje
Poa adjeMsomba niaje
Safiii mkuu" naendelea kuugawa vipondoPoa adje
Naona mbavu huna
Hili ni kweli mkuuUkicheza online dls hautapenda kucheza la kawaida....


Emu screenshot squad yako mkuuDah wakuuu nisaidien fomation asee maana nacheza 433 lakin napewa vipigo vya haja mpaka nataman nikimbie online
Tena update?? Version 5.02 au nyingineGame limekua gumu sa hii wameli update
Tumia 4-1-2-3Dah wakuuu nisaidien fomation asee maana nacheza 433 lakin napewa vipigo vya haja mpaka nataman nikimbie online




Uko mi nilishaachaVipigo![]()






YeahUkicheza online dls hautapenda kucheza la kawaida....
Huku natafuta kwanza coins☻☻☻Uko mi nilishaacha
Kupiga vitimu UCHWARA 15-0 sio issue
Issue IPO online mzee baba![]()
Ana 100%Huku natafuta kwanza coins☻☻☻
Ila mbona mchezaji unaye mcreate hana nguvu????