Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,876
- 51,668
Hahahahahaha unafunga magoli mengi si kwa kuwa umelizoea, mwanzoni uliambulia kichapo, bado umechakachua coins, hata games nyingine ni hivyo hivyo ukizoea zinakua rahisi ndiyo maana ya experience, halafu first touch umesema umeshindwa ku_install sasa umechezaje??DLS ni nyepes waachieni wacheze wadada pakueni first touch,sema mi fts 2017 linanishinda kuinstall,,.DLS napika watu mpka 34 amna cha maana raha ya game upate challenge.